ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu uko km mm nikitia mafuta ya 10000 hua nasahau kabisa maana napiga misele mpaka basi.Mimi SAnNLG yangu naiwekeaga mafuta ya 20,000 natumia mwezi mzima na nikiweka miezi minne mfululizo huwa tanki linajaa.
naishi mji mdogo ambao kutumia Pkpk ni salama na umbali toka home to job ni km2 tu.
sijawahi kujuta kumiliki chopa kama ninavyoiita Mimi.
Now i have come to a conclusion that, "even common sense is not common".Naona mnaanza kutumia kingereza kufichia umaskini.
Rudi kwenye mada mtoa mada hajazungumzia kutembea kwa miguu. Kasema usafiri wa daladala
Be the first one, others will follow back mkuu.!Ta
Ingekaa njema sana kama pangekuwa na luxury public transport hapa Dar
Tatizo ni la enzi na enzi, nilitegemea wasomi wangetafutia permanent solutionHaiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Nakubaliana na wewe kabisa 100%Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Hii picha chini haina uhusiano na mada bali iko hapo kuchangamsha mada.
Ni mimi mwanadaladala mwenzenu.
View attachment 1860695
wale wachawi wale ...hayo magari jua kabisa ni misukule cheza na kinga boys weyeSio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
safi kabisa mkuu,,,kuendesha gari kinahitaji utulivu wa akili na mwili na concentration ya hali ya juu,,,lasivyo utaua watu hivyo nakubali ni kweli wengne wanapanda daladala wakati magari wanayo tena yakiwa na full/half tankMkuu kwani wote wana mbanano kwenye daladala, wengine wanapandia mwanzo wa gari na hajawahi kupata usumbufu.....kujua adha ya kuendesha gari daily subiri ununue la kwako utaelewa tu. Ulishajiuliza kwa nini wengine wenye uwezo wanaajiri madereva, au unafikiri hawajui kuendesha...
Fikra mpya kwenye daladala, hii mpya.Baadh ya watu licha ya kumilik magar mazur tu ya kutembelea wanaamua kupanda daladala walau kupata fikra tofaut,baadh ya watu wanafany kazi za aina moja kila siku watu anaokutana nao ni walewale nyaraka zilezile na akitoka kazin anapanda gar la peke yake mpaka nyumban inamaana ili apate fikra mpya analazimika kujichanganya maeneo km hayo walau achangie mijadala ambayo itamfanya apate fikra mpya
Kwamba mwendokasi inawahi kuliko usafiri binafsi, unazungumzia Dar ya wapi?Kwa taarifa yako huo ndio usafiri wa mjini kwa majiji yote duniani(Public transport)
Mabasi ya umma na Treni ndio hasa nyenzo ya kukuwahisha kwenye mishe zako hilo ni dunia nzima iko hivyo na usikae ukafikiria kutumia gari binafsi ndio utajiri,wote wapandao dala dala si eti kua hawana magari
Tatizo la wabongo wengi ni Hakuna Exposure wengi hawajatoka nchihii hata ke ya tu hapo mtuhajatia mguu wala passport huna!tembea ujionee!
Tajiri gani anapanda daladala?Wapo maskini wengi wenye magari binafsi na matajiri wanaopanda daladala
Unaweza usiwe tajiri lakini sio maskini.Ukiwa na gari we ni Tajiri?
Ukiwa na gari we ni Tajiri?