Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Aisee...watu wa uchumi WA juu mna mbwembwe
[emoji28][emoji28][emoji28]wana mbwembwe ni mwendo wa uber tu duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee...watu wa uchumi WA juu mna mbwembwe
mtu amejiandikia kiswahili we unacoment kingereza"We need to teach our generation that owning a car is not a symbol of success, and walking does not mean poverty"-The Late Nelson Mandela.
Ukiwa na gari ndogo (za mikopo) ni gharama kwa mtu mmoja kutoka mbagala mpaka tegeta. Paki gari nyumbani panda daladala
Time kunangwa, na Matajiri washamba, waliokulia umaskini.!Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Hii picha chini haina uhusiano na mada bali iko hapo kuchangamsha mada.
Ni mimi mwanadaladala mwenzenu.
View attachment 1860695
Ushamba ndio uko hivyo.Naunga Mkono Hoja! NAKAZIA kupanda Daladala ni Umasikini na hakuna anaye enjoy kupanda Daladala, tunapanda ili tufike tu! Haiwezekani eti Diamond apaki Rolls Royce aone usumbufu halafu apande Daladala [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wote mnaompinga mtoa mada ni Masikini.
Nauchukia Umasikini
Nauchukia Umasikini
Nauchukia Umasikini
Hata kutumia Tecno au Infinix Pia ni Umasikini.. Goodnight EVERI BADI
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Embu elezea vizuri hiyo kubambiwaKUKATWA KIDOLE NA MLANGO WA MWENDOKASI IS ALMOST IMPOSSIBLE SABABU ILE NI RUBBER
ILA MENGINEYO NI UKWELI MTUPU
UMESAHAU KUBAMBIWA
Sana my dear...nimekumiss piaNimekumiss shoga
Kitambo
Hii ndio Jamii forum mkuu,kwa hiyo kwa kipasso chako cha million 2 unusu tena used ndio kimekupa kiburi kuja kutukana watu hapa jukwaani.Mafuta ya elfu 50 yanatosha wiki mzima, sasa ukimwona mtu mpaka anapaki gari nyumbani kwasababu ya mafuta kukata huyo bado maskini
Wapo maskini wengi wenye magari binafsi na matajiri wanaopanda daladalaHabari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Hii picha chini haina uhusiano na mada bali iko hapo kuchangamsha mada.
Ni mimi mwanadaladala mwenzenu.
View attachment 1860695
Eti kuna watu wanasema kuwa matajiri nao hupanda daladala ili wapate fikra tofauti. Kwani kwenye daladala kuna kupiga story?Kwenye eicher za tegeta nyuki to kivukoni asubuhi mnapangwa kama ndizi. Unashika bomba la kulia unakuta mama mwenye umri wa mama yako anakugeuzia tako naye kashika bomba la kushoto. Konda anapenya hapo hapo kuchukua nauli... Hakika huu usafiri ni wa kudhalilisha basi tu.
Nadhani hujanielewa na umekurupuka kujibu.Kwa taarifa yako huo ndio usafiri wa mjini kwa majiji yote duniani(Public transport)
Mabasi ya umma na Treni ndio hasa nyenzo ya kukuwahisha kwenye mishe zako hilo ni dunia nzima iko hivyo na usikae ukafikiria kutumia gari binafsi ndio utajiri,wote wapandao dala dala si eti kua hawana magari
Tatizo la wabongo wengi ni Hakuna Exposure wengi hawajatoka nchihii hata ke ya tu hapo mtuhajatia mguu wala passport huna!tembea ujionee!
Ukiwa na gari we ni Tajiri?Mafuta ya elfu 50 yanatosha wiki mzima, sasa ukimwona mtu mpaka anapaki gari nyumbani kwasababu ya mafuta kukata huyo bado maskini
Kwenye daladala kuna root nzuri aiaeee unakaa kwenye daladala unatamani usishuke haraka.Ila ukisimama ukabananishwa dah safari inakuwa ngumu.Ila kwenye mwendokasi hata ukisimama poa tuNyuzi kama hizi nazipenda sana yani zinanitoa stress na vile sina gari wala pikipiki mimi natembea na nauli tu.
Mtu 50 alfu anasema gharama ya mafuta ya wiki kwa gari ya usafiri.
Wakati huo kwa wiki gharama yangu mimi ya usafiri ni 10 alfu.
Wakuu sisi tiobarikiwa kumiliki nauli pia tumshukuru Mola pia.
Unataka kumzingua mleta mada eehSio tuu daladala Dar bali usafiri wowote wa umma ambao sio luxury au business class ni usafiri wa waganga njaa
Good idea,Njia ya Mbezi kariakoo yapo.CostaDawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajambanani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Dar es Salaam Bora watu waendelee kuwa na kipato cha chini.Dar watu wengi wakiwa na kipato cha Kati au juu,mji utazidiwa kwa magariHuo ndo ukweli.
Na ukiona eti una gari na umeshindwa kuweka mafuta ukaja kupanda daladala bado upo kundi lilelile tu. Mtu na pesa zako huwezi kubali kudhalilika na vurugu za daladala za dar aisee.
Mtu na ndambi yako na tai shingoni unapapambana kupata siti [emoji23][emoji23], daah aisee.
Umaskini mbaya jama, tuukatae.
Yapo asubuhi na jioni Kuna Coaster za Mbezi-Kariakoo, Airport-Posta kwa 1000 na Nyingine ni level seat.Dawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajambanani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Hhhhh mkuu bebi wolker ndyo niniMafuta ya elf 50 kwa wiki yanatosha kwenye ki baby walker, siyo gari...