KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Kuna masharti anayafuata!Sio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna masharti anayafuata!Sio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Usumbufu wa kuendesha?Siyo kwa maskini, ni kwa ajili ya watu wanaohitaji kutumia usafiri wa daladala kwa wakati husika.....mfano wengine wana magari yao lakini wakati mwingine hutumia daladala kuepuka usumbufu wa kuendesha, maana kuendesha gari siyo rahisi kama mtoa mada unavyofikiria au kama wanapiga bajeti ya mafuta....
Mkuu kwani wote wana mbanano kwenye daladala, wengine wanapandia mwanzo wa gari na hajawahi kupata usumbufu.....kujua adha ya kuendesha gari daily subiri ununue la kwako utaelewa tu. Ulishajiuliza kwa nini wengine wenye uwezo wanaajiri madereva, au unafikiri hawajui kuendesha...Usumbufu wa kuendesha?
Yaani unaona bora ubanwe kwenye daladala na kila aina ya kadhia kisa gari linakusumbua kuendesha?
Sawa mkuu! Ngoja siku nikinunua gari ndiyo ntajua usumbufu wa kuendesha gari kila siku..Mkuu kwani wote wana mbanano kwenye daladala, wengine wanapandia mwanzo wa gari na hajawahi kupata usumbufu.....kujua adha ya kuendesha gari daily subiri ununue la kwako utaelewa tu. Ulishajiuliza kwa nini wengine wenye uwezo wanaajiri madereva, au unafikiri hawajui kuendesha...
Mafuta ya elf 50 kwa wiki yanatosha kwenye ki baby walker, siyo gari...
You were supposed to define what is poverty before going any furtherAs much as it's difficult to admit, public transportation is indeed for poor and middle income people
I personally define poverty as the ability not to afford to live a better life aka substandard lifeYou were supposed to define what is poverty before going any further
ili kuweka uwiano sawa ungeanza kuelezea maana ya maskini na tajiriHabari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Huyo ni Fala tuSio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Hili ni wazo zuri. Hivi serikali au wafanyabiashara ndio wanakwama?Dawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajamba nani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Aisee!I personally define poverty as the ability not to afford to live a better life aka substandard life
Does substandard life have some levels or any substandard life is similar to other?I personally define poverty as the ability not to afford to live a better life aka substandard life