Narudia tena, Usafiri wa daladala hapa Dar es Salaam ni kwa ajili ya watu masikini

Usumbufu wa kuendesha?
Yaani unaona bora ubanwe kwenye daladala na kila aina ya kadhia kisa gari linakusumbua kuendesha?
 
Huo ndo ukweli.
Na ukiona eti una gari na umeshindwa kuweka mafuta ukaja kupanda daladala bado upo kundi lilelile tu. Mtu na pesa zako huwezi kubali kudhalilika na vurugu za daladala za dar aisee.

Mtu na ndambi yako na tai shingoni unapapambana kupata siti 😂😂, daah aisee.

Umaskini mbaya jama, tuukatae.
 
Usumbufu wa kuendesha?
Yaani unaona bora ubanwe kwenye daladala na kila aina ya kadhia kisa gari linakusumbua kuendesha?
Mkuu kwani wote wana mbanano kwenye daladala, wengine wanapandia mwanzo wa gari na hajawahi kupata usumbufu.....kujua adha ya kuendesha gari daily subiri ununue la kwako utaelewa tu. Ulishajiuliza kwa nini wengine wenye uwezo wanaajiri madereva, au unafikiri hawajui kuendesha...
 
Naunga Mkono Hoja! NAKAZIA kupanda Daladala ni Umasikini na hakuna anaye enjoy kupanda Daladala, tunapanda ili tufike tu! Haiwezekani eti Diamond apaki Rolls Royce aone usumbufu halafu apande Daladala [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wote mnaompinga mtoa mada ni Masikini.

Nauchukia Umasikini

Nauchukia Umasikini

Nauchukia Umasikini

Hata kutumia Tecno au Infinix Pia ni Umasikini.. Goodnight EVERI BADI

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu! Ngoja siku nikinunua gari ndiyo ntajua usumbufu wa kuendesha gari kila siku..
 
ili kuweka uwiano sawa ungeanza kuelezea maana ya maskini na tajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…