King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Kulikuwa na ulazima wa kutaja kabila?Sio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia
Hapo si ajabu mtoa mada katoka kula ugali wa kulumangia na dagaa mchele, sasa hivi yuko zake kitandani mkonononi na smatfon yake iliyopasuka kioo huku mkono mwingine ukifanya kazi ya kufukuza mbuJF. Where we dare to talk openly.
Kuna watu ni jasiri kuandika wanachoandika wakiwa hapa JF pekee, huku wakitumia majina bandia . Wakiwa kwenye ulimwengu halisi....... inakuwa tofauti kabisa. Haya ndiyo maisha. Kazi inaendeleaa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo tajiri apigane vikumbo kugombea daladala?
Wazo zuri much respect to youDawa kuwe na mabasi ya aina mbili. Kajamba nani ambayo nauli ni 400 na Classic ambayo nauli ni buku ila mnakaa level seat.
Sio kufukuza mbu bali kuendelee kukanda nganoHapo si ajabu mtoa mada katoka kula ugali wa kulumangia na dagaa mchele, sasa hivi yuko zake kitandani mkonononi na smatfon yake iliyopasuka kioo huku mkono mwingine ukifanya kazi ya kufukuza mbu
Thank you mkuuWazo zuri much respect to you
Dar es salaam ni taaabu sana.Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Serikali iruhusu wawekezaji walete basi kali. Nairobi kuna baadhi ya routes basi choka mbaya ila bei poa ila kuna basi nyingine routes hiyo hiyo ni kali balaa zina mpaka wi-fi ila bei kidogo inakuwa juu.Hili ni wazo zuri. Hivi serikali au wafanyabiashara ndio wanakwama?
Kundi la Wakinga na Wapare.Kuna mtu anamiliki nyumba nne mjini lakini anatumia usafiri wa daladala, huyo tumweke kundi gani?
Upo sahihi kabisa. Sababu ni serikali yako. Usafiri umefanywa kuwa anasa badala ya hitaji muhimu la watu.Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Hujajibu swaliKundi la Wakinga na Wapare.
Kutumia tecno au infinix ni umaskin kivip?dogo acha ulimbuken wenye pesa wanatumia simza kawaida tu ila maskn ndo mbwembwe kibaoNaunga Mkono Hoja! NAKAZIA kupanda Daladala ni Umasikini na hakuna anaye enjoy kupanda Daladala, tunapanda ili tufike tu! Haiwezekani eti Diamond apaki Rolls Royce aone usumbufu halafu apande Daladala [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wote mnaompinga mtoa mada ni Masikini.
Nauchukia Umasikini
Nauchukia Umasikini
Nauchukia Umasikini
Hata kutumia Tecno au Infinix Pia ni Umasikini.. Goodnight EVERI BADI
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Kama anayepanda daladala ni maskini ndo maana nataka kujua maana ya maskini na tajiriKuna mtu anamiliki nyumba nne mjini lakini anatumia usafiri wa daladala, huyo tumweke kundi gani?
Mafuta ya elfu 50 yanatosha wiki mzima, sasa ukimwona mtu mpaka anapaki gari nyumbani kwasababu ya mafuta kukata huyo bado maskini
Kaka umaskini mbaya sanaaa,pata hata kisent usahau hyo kitu.Nawashangaa watu wanaoonaga kua nyumba ni ya kwanza Kabla ya kagari ka millioni8Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu. Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagara, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Ni utoto tu ukikua utaachaSijawahi kufuatilia kujua rank ya umaskini kwa Tanzania unaanzia mtu awe/apate bei gani kwa siku au amiliki nini ili kumtofautisha na wale hohehae!
Mf;wapo watu a'cally kutokana na mazingira waliyoishi/kulia yaliwafanya kuwa tu social,uwezo wa kuhudumia gari wanao even kumiliki hizi baby walker zaidi ya moja wanao ila haiingii akilini eti mtu ujibane ili ununue gari kwa kuogopa kupanda daladala,maisha ni yako ninyi mnaoona aibu kupanda daladala mnaogopa macho ya watu hamjui kwamba mumiliki gari au musimiliki gari hamuwapunguzii wala kuwaongezea chochote wale mnaohisi wanawatazama.
Mimi nina Bajaj tatu mpya zinazunguka barabarani ila ukinikuta kwenye Mwendokasi kama siyo mimi vile yote ni kwa sababu naishi maisha yangu Tanzania hii ukiogopa ogopa vitu vidogo vidogo kama kupanda public buses kuna baadhi ya vitu vitaku-cost.