Ili mradi uwe usafiri, unamtoa point A hadi B. Ukiwa na dharau kwa vitu vidogo, hata vikubwa unapata shida sana kuvipata. Jifunze!!Mafuta ya elf 50 kwa wiki yanatosha kwenye ki baby walker, siyo gari...
This is for third world countries, kuna nchi hadi raha mkuu.As much as it's difficult to admit, public transportation is indeed for poor and middle income people
Inategemea na umbali to and fro kazini na nyumbani. Kuna watu kwenda na kurudi ni 15km tu, kwa nini 50,000 isitoshe hasa kama anatumia vitz, IST, demio, starlet, fit nk?Hata Ist wiki humalizi
USAFIRI wa WALALA HOIHabari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
I doubt some people are not aware about priorities"We need to teach our generation that owning a car is not a symbol of success, and walking does not mean poverty"-The Late Nelson Mandela.
UMESAHAU KUBAMBIWAKUKATWA KIDOLE NA MLANGO WA MWENDOKASI IS ALMOST IMPOSSIBLE SABABU ILE NI RUBBER
ILA MENGINEYO NI UKWELI MTUPU
UMESAHAU KUBAMBIWA
Kabadirishe Pedi Mwajuma.We Binti sasa unaposema "Mwenzako kapaki range rover ya 2019" una maanisha nini?
Hivi toka upewe talaka ndio imekua hasira zako unahamishia kwa watu wote? Jitulize ili uje uposwe na mwingine,usikate tamaa mapema hivi.
Kuna tofauti kubwa ya kupanda Daladala huku una Gari lako na kupanda Daladala huku huna hata Baiskel ya Swala.Kuna raha kupanda daladala,
Nawafaham watu wenye gari 2/3 na wanapanda daladala. Especially wanapokuwa na muda na wanapoenda sio mbali na stendi ya daladala.
Binti fuata ushauri niliyokupa ili usichelewee nyumbani kwa Bimkubwa,utaposwa tu ila weka heshima mbele huo ndio mtaji wako,usipobadilika utakua unapigwa talaka kila ndoa unayoingia.Kabadirishe Pedi Mwajuma.
Punguza hasira kwa Ex wako sina time na wewe takataka.
Idiot.
Yule mumeo mpemba hakukununulia gari mpaka leo? Ina maana alikupa ahadi ya uongo?Kuna tofauti kubwa ya kupanda Daladala huku una Gari lako na kupanda Daladala huku huna hata Baiskel ya Swala.
Jamani shida hazizoeleki tutafute hela tuwe na magari tuache visingizio[emoji3]
Ukiwa Kwenye Bleed huwa una hamu Sana na mishedede shwaini wewe.Binti fuata ushauri niliyokupa ili usichelewee nyumbani kwa Bimkubwa,utaposwa tu ila weka heshima mbele hio ndio mtaji wako,usipobadilika utakua unapigwa talaka kila ndoa unayoingia.
Shida ni kupata kibali kutoka kwenye mamlaka.Nimepata wazo zuri la biashara hapa, kwa mwenye mtaji changamkia fursa hii, tafuta coaster au yutong nzuri classic wewe utakua unabeba level sit halafu ndani muwe luxury flani gari yako itakua stuff unabeba watu wenye kipato cha kati au wenye pesa na magari yao ila tu wameyaacha nyumbani kwa sababu mbalimbali.
Kwenye bus lako nauli iwe 2000 badala ya 400. Am sure utapiga pesa kistar.!!
vipi zile Dawa za bawasili zilikusaidia ?Yule mumeo mpemba hakukununulia gari mpaka leo? Ina maana alikupa ahadi ya uongo?
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]