Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Mkasa kama huu ulimkumba Thiery Henry
T. Henry.... Enzi zake akiwa anawika kwenye soka nilikuwa namhusudu sana. Sina hakika kama alikataa mimba au hakutunza mtoto.
Mahusiano yako very complicated ila bado namhusudu japo hamfikii Dadii kwa jinsi ninvyomhusudu.