LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 265
Wakati Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuapishwa kuwa Rais wa Kenya Jumanne ya wiki ijayo, Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) nchini humo pia umetangaza kuapishwa kwa Raila Odinga kuwa Rais wa taifa hilo Siku hiyo ya Jumanne.
Nini Maoni Yako ?
Source : UKOMBOZ BLOG
Nini Maoni Yako ?
Source : UKOMBOZ BLOG