KWELI NASA mwaka 2024 waligundua jiwe ambalo lingetarajiwa kudondoka duniani mwaka 2032

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Imagine Kuna mtu anataka tuishi kwa waswasi kwa miaka Saba kuanzia Leo๐Ÿค”๐Ÿค”
Huyu ni msenge tu dunia unafikiri kama sio ulinzi wa Allan sw ingekuwepo hakuna jiwe wala nn hv miaka billions ya dunia ulisikia limeanguka wapizaidi ya fragments kama zile za mbozi hata hyo ukifika mda hakuna kitu usicheze na M/Mungu
 
Ndio njia pekee ya kuleta mabadiliko kwenye hii nchi.
 
Hii habari ya kupiga Tanzania umeitoa wapi?

Kwenye hii projection Tanzania haipo.

 
2032 bado ccm watakuwa kwenye wizi wa uchaguzi na wakizidi kumpa vyeo wasira.
 
Mkuu hamuwezi mkaliongeza speed lishukie ikulu kati ya 2025- 2029 ili mama Samia aingie katika historia ya wanawake walio pokea mawe kutoka angani.
 
Ndio sio habari za kushtusha tena hizo maana tuliambiwa kuna sayari inakuja kugongana na dunia mpaka sasa haijafika tu
 
Du, nafuu. Ili nasi tubakie kwenye vitabu vya historia tu
Kwa maana hakuna cha maana kinachofanyika bongo aisee lishuke hata sasa pale magogoni dasalamu
Imagine Kuna mtu anataka tuishi kwa waswasi kwa miaka Saba kuanzia Leo๐Ÿค”๐Ÿค”
Mkuu kuna nini cha maana hapa tanzania ikiwezekana lishukie manzese na kinondoni yote sehem za uswahilini ibaki historia tuwe tunaenda kuangalia makumbusho maana ushoga umekithiri sana maeneo hayo
 
Nasubiri kuliona. Kama Mungu atanijalia nitakuwa na umri wa miaka 80. Sijui litaangukia Mkoa gani.
 
Ni hiyo basi tu lakini kama dunia tusingekuwa na lile chujio kule juu, mawe yote ya space yangetuua na asibaki mtu dunia nzima. Nani wa kumshukuru Kwa hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ