NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

Nilidhani watakuja wapenda sayansi ya anga tujadili, lakini nimevamiwa na wafia dini....
Vichwa vemejazwa hadithi za kusadidikika....na wanaamini mazima...poleni sana


Hii ndio tatizo tunalosema tuache kukariri vitabu vya histiria ya sayansi na tuanze kuielewa sayansi yenyewe ni nini...
Metre per hour is a metric unit of both speed (scalar) and velocity (Vector (geometry)). Its symbol is m/h or m·h−1 (not to be confused with the imperial unit symbol mph. By definition, an object travelling at a speed of 1 m/h for an hour would move 1 metre.

Unaweza kutumia conversion unit ukapata m/s au km/hr au mph
Na wewe punguza kuwaskiliza sana wazungu bab utapotea....Hii Dunia ina mwenyewe na anajua kila kitu kinachoendelea,halali wa hasinzii...kila kitu kinakwenda kama alivyopanga.
Katika moja ya matabaka ya anga lipo tabaka Mungu kaliweka maalum kwa ajili ya kuikinga Dunia dhidi ya mawe design hyo yasiiangukie Dunia...ni mfumo tayar UPO na uliwekwa tangu Mungu anaumba hii Dunia
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Dinasours crawled, lingered, ruled and dominated the surface of the Earth for over 200million years and it took only one asteroid to end their reign and conclude their chapter in history books. Where was God then?
We've been around for what? Only 200, 000 years?
I think its dumb to leave our fates to God.
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Ungejielimisha kwanza,huko duniani wameshaanza kuprint nyumba na unahamia ndani ya masaa kadhaa tu,hakuna mambo ya kupandisha zege sijui kuezeka,sasa sijui utasemaje hapo.
 
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

View attachment 2384214
View attachment 2384215

View attachment 2384216
View attachment 2384217
Wangeanza kuzuia majanga ya asili ktk sayari ya dunia, kama wangeweza ndio wangehamia huko.
 
Mkuu acheni kuwafanya watu wajinga nyinyi,hvyo vimondo vinaanguka kila siku na Mungu mwenyewe alishaweka mifumo maalum ili hayo mawe yasidondokee dunia....Waambie hao jamaa zako hzo chai za mchana hatuzitaki,Yupo aliyeumba Mbingu na Dunia na yeye pekee ndiyo mlinzi wa hii Dunia.
Sasa anayeviruhusu hivyo vimondo vianguke ni Nani?
Mungu ameiumba dunia na wakati huohuo anailinda dunia🤔Sasa anailinda dhidi ya adui gani?..
Kwahiyo Mungu alishindwa kukizuia kile kimondo cha mbozi hadi kikaingia duniani?

Hakuna anayebisha kwamba dunia inaulinzi wake wa asili na dhidi ya vitu vitokavyo anga za mbali huko lakini haina maana kwamba sisi kama binadamu tukae tukibweteka

Embu jiulize hizi rocket na vifaa vingine vinavyoundwa na mwandamu vinavyoenda anga za mbali na kurudi duniani vikiwa salama ni kwamba mwanadamu anakuwa amemshinda Mungu hadi vinapita kwenye huo ulinzi wake????

Acheni sayansi isimame kama sayansi na imani zisimame kama imani mmekuwa wepesi sana kusifia imani zenu na kuponda sayansi mnasahau hivi vitabu tunavyosoma,spika na maika za kuhubilia zote ni faida za sayansi
 
Ungejielimisha kwanza,huko duniani wameshaanza kuprint nyumba na unahamia ndani ya masaa kadhaa tu,hakuna mambo ya kupandisha zege sijui kuezeka,sasa sijui utasemaje hapo.
Hizo nyumba unazosema ni pre fabricated mzee unaenda dukani au kiwandani kuweka order mbali na hapo unambie nyumba inakua printed kwa printer ya 3D na akaishi mwanadam yenye kutosha hata minimum eneo la 100m² huo ni uongo.
 
Inawezekana ikawa kweli.
Ila najiuliza hayo matofali ambayo yapo huko juu siku Mungu akiamua kuyashusha wataweza kuyazuia?
Kama Hilo moja tu limewapa shida.
Angalia sayari zinaelea,jua linaelea,mwezi unaelea,nyota zinaelea .vipi siku hivi vitu vikigongana?
HAKIKA MUNGU YUPO

Mungu gani tena
 
Na wewe punguza kuwaskiliza sana wazungu bab utapotea....Hii Dunia ina mwenyewe na anajua kila kitu kinachoendelea,halali wa hasinzii...kila kitu kinakwenda kama alivyopanga.
Katika moja ya matabaka ya anga lipo tabaka Mungu kaliweka maalum kwa ajili ya kuikinga Dunia dhidi ya mawe design hyo yasiiangukie Dunia...ni mfumo tayar UPO na uliwekwa tangu Mungu anaumba hii Dunia
Kwahiyo mwanadamu amemshinda Mungu kwa kupitisha vifaa vya anga za mbali na rocket zikienda na kurudi duniani bila tatizo kwenye hilo tabaka ??
 
Wangepigisha kura kufanya hii kitu,wengine tunapenda dunia ipigwe tuanze moja
 
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

View attachment 2384214
View attachment 2384215

View attachment 2384216
View attachment 2384217
Mungu hana mchezo anasema MAlipo ya mja MUOVU ni hapa hapa dunian kabla hajaondoka.
Hao jamaa wanatuletea MAmbo ya Uongo na Mungu anaona anaweza akawaadhibu Hao Nasa mpk wakashika Adabu.
Anawapelekea Kimondo kwenye HQ yao hapo kinaangukia hapo hapo tuone sasa kama watakwepesha
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Punguza makasiriko na Stress jombaaa, huko duniani watu wako very busy and serious doing great things. Kuna watu hawalali wanapasua vichwa kwenye issues nyingi za kisayansi..
 
Hata kipindi icho wanasanyansi wanasema mtu na mtu watawasiliana kwa sauti wakiwa mbalimbali kuna vilaza kama wewe walisema ni uongo
Exactly [emoji1666] [emoji1666] mtu anashinda kijiweni au Bar na smartphone ya mzungu halafu anaongea ujinga ujinga tuu. Wakifelishwa huko TSL wanakuwa wakali eti wameonewa.. [emoji23]
 
Uongo wa kwanza.
Mwendokasi hupimwa kwa namna hii
1. Kasi ya sauti
2. Kasi ya mwanga
3. Kph

Hicho kipimo kwa mita labda kisome per seconds.


Inabidi sasa NASA wajenge zimamoto anga za juu ili Mungu atakapoichoma dunia waweze kuuzima moto.


Wanadamu v/s Mungu
Check out this...
Screenshot_20221014-120417.jpg
 
Back
Top Bottom