NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

Wewe ni mwehu , kama hujui vitu ni Bora uwe unakaa kimya .
Unajua hata 3D printing technology inavyotumika kujenga nyumba au unaropoka na kuandika pumba Tu hapa ?
Unajua Maana ya kitu kuwa pre fabricated wewe ?
3d printing inatumia robotic arm ambayo inazunguka katika angle tofauti tofauti Kwa kulay na kuspray concrete ( mchanganyiko WA mchanga ,cement na plaster ) inform of layers mpaka nyumba inakamilika ,si ajabu nyumba ya Boma kujengwa ndani ya masaa 24 ,ni kawaida kabisa .Hapo Hakuna cha tofali wala mbeba zege wala fundi wala mchanganya mchanga wala sijui nini .
Kazi iliyokuwa inafanywa na watu 30 Kwa wiki kadhaa inafanywa na mtu mmoja / wawili ndani ya masaa 24 .
Ninyi watoto hizo simu zenu huwa mnazitumia kuangalia porn na umbeya Instagram Tu , vichwa empty
Ficha upumbav wako
Acha fix mzee usifanye watu mazwazwa leta fact ya hiyo nyumba iliyokua printed achana na porojo za maneno mengi alafu kumbe ni pointless, hiyo technology ya 3D print ipo na ninaifaham na ninaitumia ila sio kwa hiyo unayoizungumzia ya kuprint nyumba we mpumbavu mkoswa maarifa.
 
View attachment 2386494

Hata babu yako wa miaka hiyo alikuwa mbishi kama wewe.

#YNWA
Takriban miaka 60 iliyopita mashirka makubwa ya kijasusi kama vile CIA wanaweza kuwa walikuwa tayari wameshaanza kutumia simu za mkononi. Kwa hiyo wakati gazeti hili linaandika taarifa hizi, simu za mkononi zilikuwepo isipokuwa tu zilikuwa bado hazijaanza kutumika na watu wengine wa kawaida kama ilivyo leo
 
Tunapambana na kimondo huku tunatishiana NUKES. Sisi ni viumbe wa kipekee sana. 🤔
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Mara nyingine naona kama unanena ukweli. Normally kimondo kikiwa space huwa ni hot magma, sasa wao wanaeleza as if ni solid 😅 😆
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Fact mwenye uwezo hii ni Mungu tu na slishatengeneza kila kitu anajua yaliyopita yajayo na ambayo hayakuwa kama yangelikuwa anajua yangekuwajee
 
hawa naamini ni waongo!! Mambo yanayoendelea huko juu yameshajiseti yenyewe,sir God anajua alivyoyaweka hakuna cha NASA wala Nasua! Waache urongo bwanaa!
Eti wanailinda dunia?! Wana uwezo wa kuilinda dunia hao wazushi? Unapata wapi uwezo wa kuilinda dunia? This is bullshit...a preposterous bullshit! Crazy nasa
Unatoa povu kama lijinga. Kule mbozi kuna kimoja kiliangukia huko.
 
Yani Wamarekani ni watu wa mapichapicha ingekuwa ni watu wanaoishi hapa bongo ningewalinganisha na watu wa uswaziiii
 
Nyie ndo bendera fuata upepo.
Hivi kesho wakikuambia wanataka kuihamisha dunia au mwezi kutoka katika mzunguko wake utawaamini?
Uzuri wa sayansi sio blah blah sayansi ni facts

So ikitokea mwanasayansi amesema kitu kama hicho tutamuhoji utuelezee ni kwa namna gani hilo jambo litawezekana atakuja na facts zake

SAYANSI NI KAMA MPIRA WA MIGUU IKO WAZI NI WEWE TU KUISOMA NA KUIELEWA HAINA MWENYEWE KAMA UNAVYOFIKIRI
 
Yani Wamarekani ni watu wa mapichapicha ingekuwa ni watu wanaoishi hapa bongo ningewalinganisha na watu wa uswaziiii
Wamarekani ni watu wa mapichapicha?

Swali

Kwanini China, Russia,india,Japan,na mataifa mengine yaliyoendelea kwenye sayansi ya anga hawapingi hizi chunguzi za NASA na kutuambia kwamba wamarekani Ni waongo??

kwanini wao pia tafiti zao zinafanana na za wamarekani na majibu ni yaleyale?
 
NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na kibadilisha muelekeo kwa muda zaidi ya nusu saa, endapo kama kingekuwa kinaelekea kuangukia katika sayari ya Dunia.

Hii hatua kubwa katika ulinzi wa sayari ya dunia endapo kama kutakuwa na tishio la kimondo kinachoelekea kuangukia sayari yetu na kusababisha maafa.

Kwa maana hiyo, taarifa za kisayansi zilizokusanywa kutokana na mafanikio haya kitasaidia kutengeneza kombora lenye uwezo mkubwa wa kuweza kugongana na kimondo na kukitoa kwenye muelekeo wa kuangukia sayari ya dunia.....(NASA)

View attachment 2384214
View attachment 2384215

View attachment 2384216
View attachment 2384217
WANAANGA WA BUZA WATABISHA😅😅
 
Nassa wanajitekenya wenyewe wanacheka wenyewe sasa yule bibiangu kule malinyi morogoro ataamini vipi hollywood yao hii mpya waliyotengeneza?

Ina maana Hawa wamarekani wanatupenda sana wana ulimwengu sisi kiasi cha kutuepushia tusiangukiwe na kimondo?

Mabwege hao wangeacha kituangukie ili tujue ni wakweli

Yani wanadhani Mungu analala usingizi hawa wehu, hii dunia yupo mwenye dunia yake haijatokea tu yenyewe kama kinyesi kwenye wo! wo! wo! zao
Huyo Bibi yako huko malinyi unaweza ukampa taarifa kwa kumpigia simu kifaa ambacho kimetengenzwa na hao wanasayansi unaowadharau hapa
 
Hizo nyumba unazosema ni pre fabricated mzee unaenda dukani au kiwandani kuweka order mbali na hapo unambie nyumba inakua printed kwa printer ya 3D na akaishi mwanadam yenye kutosha hata minimum eneo la 100m² huo ni uongo.
Unaweka oda duka gani au kiwanda gani? na baada ya kuweka oda wao wanafanyaje sasa,wanakuja kuanza kufyatua tofali au vipi?
 
Achana naye mpumbav huyo na wajinga wenzake kuna technology kama AI , 3D printing , computer clouding hii ndio inaitwa 4th industrial revolution ,Hilo la nyumba kuwa printed ni kweli na ni real kabisa .
Watu hawalali wanasumbua akili zao kila sekunde kuja na innovation na scientific discoveries mpya kila siku .

Tunapoelekea huko wenzetu utakuta ni robot Tu na operator / technician mmoja ndio wapo site na wanajenga nyumba mpaka inaisha ,Hamna cha saidia fundi wala mbeba zege wala fundi uchwara .kazi mwanzo mwisho inafanywa na robot na labda mtu mmoja WA technical support Hivi vitu Kwa wenzetu vimeanza kabisa .
Mkuu,Watu hawataki kujielimisha wameamua tu wanapinga kila kitu,aione abdul0402
 
Waongo washenzi mabeberu hayo dadadeki zao walahi [emoji35]
 
Mkuu,Watu hawataki kujielimisha wameamua tu wanapinga kila kitu,aione abdul0402
Sio hawataki kujielimisha, hata serikali ilijaribu kuwaelimisha kwa elimu ya bure kuanzia msingi mpaka sekondari, kuna wale walikuwa bora liende mpaka linamaliza sekondari ya kulipiwa na wazazi wake halikutoka hata na definition ya Physics au Biology kichwani mwake, ndio matokea yake tunayaona tunapojumuishwa nao kwenye hii mitandao ya kijamii..
 
Sio hawataki kujielimisha, hata serikali ilijaribu kuwaelimisha kwa elimu ya bure kuanzia msingi mpaka sekondari, kuna wale walikuwa bora liende mpaka linamaliza sekondari ya kulipiwa na wazazi wake halikutoka hata na definition ya Physics au Biology kichwani mwake, ndio matokea yake tunayaona tunapojumuishwa nao kwenye hii mitandao ya kijamii..
[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom