NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

Wewe kama ww umeshuhudia au wamekubrain wash huko na ww unakuja kutupiga kamba.
Cha msingi lete fact bro. Maelezo ya mzungu tu hayatoshi ku prove kitu. Aminisha watu kwa fact

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Wewe unahitaji fact gani? Na yeye apeleke chombo chake aka prove? Kwenye sector ya space utahitaji fact gani ambayo haitotoka kwa wanazungu ambao ndio wanajihusisha na space?
 
Wewe unahitaji fact gani? Na yeye apeleke chombo chake aka prove? Kwenye sector ya space utahitaji fact gani ambayo haitotoka kwa wanazungu ambao ndio wanajihusisha na space?
Unajua maana ya fact. Fact ni kitu unachoweza kukiprove 100% bila kuacha daught.
Daught iliyopo hapa ni kwamba, wazungu walishatudanganya mambo mengi ambayo tumekuja kushtuka badae. Sasa kama kuna huo uwalakini, unaanzaje kupush story kuwa tuamini ni ya kweli na imetoka kwa hao hao ambao baadhi ya mambo ni uongo.
Ni kama unanilazimisha niamini kua binadamu wa kwanza alikua sokwe na alitoka afrika, na hatuoni kama kuna watu bado wanabadilika kutoka kwenye usokwe. Ilitakiwa iwe process endelevu.
Au uko mahakamani unasema mimi nimekuibia kuku, unaambiwa lete ushahidi kua nimekuibia kuku, unaanza kumlazimisha judge na mahakimu waamini story yako kisa mzungu alishasema kua muiba kuku ana macho mekundu. Lete fact aisee

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana!
 
Kinatumia network gani kutuma izo picha kutok huko kuja duniani
 
Haya makitu ni magumu kuyaelewa aisee...bora nibaki na bob marley ni ile kauli yake ya we know what they tell us. Kwa 100000% hili tukio ni uongo wa kiwango cha juu sana.
 
Haya makitu ni magumu kuyaelewa aisee...bora nibaki na bob marley ni ile kauli yake ya we know what they tell us. Kwa 100000% hili tukio ni uongo wa kiwango cha juu sana.
Kama huielewi/kuamini usiseme ni uongo sasa mkuu
 
Wewe kama ww umeshuhudia au wamekubrain wash huko na ww unakuja kutupiga kamba.
Cha msingi lete fact bro. Maelezo ya mzungu tu hayatoshi ku prove kitu. Aminisha watu kwa fact

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Naona stori zimekua nyingi ila uzuri ni kwamba kwenye sayansi hamnaga blah blah fact unazozitaka nimekuwekea hapo chini na nimejaribu kuandika kwa lugha nyepesi ili upate kuelewa kiurahisi nimeanzia jinsi gani chombo kinatoka duniani mpaka kinavyofika huko kwenye sayari ya mars na kama usiponielewa hapo ujue hayo mambo yapo nje ya uwezo wako, kitu kama wewe hukielewi haimaanishi kwamba hakipo au hakiwezekani
 
Huko kote tushapita tukaja kugundua ni uongo mtupu. Tulikua tunajijaza ujinga tu, badala kufundishwa vitu ambavyo viko applicable kwenye life unafundishwa uongo wa formula kibao. Tuwe na tamaduni ya kuamini tunachoona au tunachoweza kuki prove. Wazungu wako huko wanafundisha watoto wao kutengeneza gari na ndege, wewe una calculate ma fornula kibao.
Hujiulizi kwanini ndege ya kwanza au gari ya kwanza ilivumbuliwa na mtu asie jua kusoma wala kuandika. Cha msingi dogo, tumia elimu hiyo ya mkoloni kufaulu mtihani lakini sio ku prove chochote ulimwengu upo complicate sana, kuna ukweli mwingi umefichwa.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We jama unachekesha sana , anyway we baki tu na huo ujinga wako mi sina cha kukufanya
 
Ahsante na ubarikiwe agiza healtho nakuja lipia
Tuatasaidiana katika hili lifunguliwe jukwaa kabsa la maswal ya anga tu ili tupate elimu Zaid ..@Moderator harakisheni jambo hili linapewa nafasi Ni amari siyo ombi ...
 
Tuatasaidiana katika hili lifunguliwe jukwaa kabsa la maswal ya anga tu ili tupate elimu Zaid ..@Moderator harakisheni jambo hili linapewa nafasi Ni amari siyo ombi ...
 
Tuatasaidiana katika hili lifunguliwe jukwaa kabsa la maswal ya anga tu ili tupate elimu Zaid .@Moderator harakisheni jambo hili linapewa nafasi Ni amari siyo ombi ...
 
Kinatumia network gani kutuma izo picha kutok huko kuja duniani
Achana na hao mbung'o hawaelewi kitu jua ndio chanzo kikubwa Cha electromagnetic radiation, waves zinazozalishwa huko zinauwezo wa kukaanga IC yoyote tunazotumia kwa mawasiliano au sensor, achana na ku reset systems, ku erase data, ku loop programs, kuharibu sensors....
Ngoja Kwanza nitaitafakari hii mada kesho alcohol ikipungua kichwani; joto la jua, electromagnetic waves, plasma storms na chombo kisiharibike?
Jua lenyewe linajichoma halijihurumii mpaka limebaki gesi na plasma!
 
Kinatumia network gani kutuma izo picha kutok huko kuja duniani
Ninauhakia haikuwa Tigo network...
Ni satellite communication...
Jua kuna simu zinatumika hapa duniani bila kupitia network yeyote....
 
elimu ni ufunguo wa akili....
 

Netflix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…