Ana kichaa huyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Dah...na akishajua umezima kwake utajuta..mm hapana aisee siwez na sitak! Bora nibak hivihivi...shida ya hao ben10 mafriji yao hayapoozi
Kuna mdada mmoja kafa kwa polisi mmoja jank tu age btn 28 hv..jaman yule polis anamuomba huyu dada hela kubwaa ..namuonea huruma anajitahid atoke ila anasema moto wake sio wa nchii hii..! Namuonea huruma..mwenzako anamuomba had 500k! Dada anakopa had kwa mumewe anampa...arghhhhh naudhika
Na anasimamisha mengine watavumiliana tunadhani ni muda sasa wa kutafuta mwanaume yoyote ilimradi awe anapumua.
Ndoa zina mambo mob shost!Ana kichaa huyo.
Tena mke wa mtu anatafuta nini huko nje? Ngoja mumewe ajue ataachwa na mume na kiben10 ahangaike na mji
Sasa si atoke tu kuliko hayo anayofanya?? Au ndio yale hataki kuonekana hana mume?Ndoa zina mambo mob shost!
Usiusemee moyooo...Sasa si atoke tu kuliko hayo anayofanya?? Au ndio yale hataki kuonekana hana mume?
Pole sanaMdogo wangu, mdogo wangu....mdogo wangu.
Yaani acha tu.
Nahisi kuna mchezo mchafu kanifanyia, japo sahv namkweppa.
Acha kabisa....nimekoma
Mkuu nipo DomWasiliana na uongozi.
Ungekuwa Dodoma ningekupatia
all the best...hivi hapa ndani bado kuna masingle kweli?
ππππduh...kweli yamebaki manungayembe yanahangaika
Kwanini unawaza kuwa kuna mchezo mchafu wkt umekubali shoo zake.kama unafuraha ukiwa nae endelea nae wala hakuna ubaya kupenda dada.Mdogo wangu, mdogo wangu....mdogo wangu.
Yaani acha tu.
Nahisi kuna mchezo mchafu kanifanyia, japo sahv namkweppa.
Acha kabisa....nimekoma
Sijapata bado jamani