Nasaka mume

Ana kichaa huyo.

Tena mke wa mtu anatafuta nini huko nje? Ngoja mumewe ajue ataachwa na mume na kiben10 ahangaike na mji
 
Dada na tako hilo unahonga?? Acha ara moja bado unastahili kupewa
Mdogo wangu, mdogo wangu....mdogo wangu.
Yaani acha tu.
Nahisi kuna mchezo mchafu kanifanyia, japo sahv namkweppa.
Acha kabisa....nimekoma
 
Mdogo wangu, mdogo wangu....mdogo wangu.
Yaani acha tu.
Nahisi kuna mchezo mchafu kanifanyia, japo sahv namkweppa.
Acha kabisa....nimekoma
Kwanini unawaza kuwa kuna mchezo mchafu wkt umekubali shoo zake.kama unafuraha ukiwa nae endelea nae wala hakuna ubaya kupenda dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…