Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ila dyudyu ina umhimu na mm nimeona shoga🤣!yaan hata uwe busy vipi bado mwili utachemka😒! Sema age zetu tunajitungua mara 1 moja . Usihonge..umri huo bado ..tuna miaka kama 15 tuanze kuhonga😅Mshahara na bata bila dyudyu shoga angu...nitajidanganya tu.
Au nihonge mie....🤔🤔🤔