Nasema hivi, Mume anauma!

Asuhbiri kupata Mpox maana zimejaa tele.....tushukuru Muzungu amemwaga Njegele kila mahali mtasaidiana kunywa na kupima CD4
 
Kwa hiyo unataka kuloga au....
 
Ni kweli mume anauma, ila ulichofanya hapo ni kutoa tunda mzizi ukauacha kama ulivyo hilo tunda litaota tena
 
Haelewi hata kidogo. Anadhani penzi langu ni jepesi sana la kubebwa mgongoni.
 
Kwahiyo unadhani akihalalisha ndo sitoumia. Hivi mnadhani wanawake wa kwenye ukewenza wana furaha?? Basi tu mtu unazima switch zote za mapenzi unaamua kuishi siku ziende.
 
Umemdharau mke mwenzio hajui mapenzi na wewe mwenyewe hujui,huu sio wakati wa kumnyima mumeo huu ndio wakati unatakiwa uongeze mahaba mama ooh
 
Sio masihara mme wa mtu ni mtamu.....☺️

Mmeo yuko wapi zurie.
 
Unaibiwa mwanamme kwani mzigo huo?

Mwanamme wako kaamua kuruka na mtoto wa 2000 unasema umeibiwa?
 
Umemdharau mke mwenzio hajui mapenzi na wewe mwenyewe hujui,huu sio wakati wa kumnyima mumeo huu ndio wakati unatakiwa uongeze mahaba mama ooh
Hakuna niliposema hajui mapenzi tafadhali.
 
Sawa sijaibiwa. Umefurahi?
Sijafurahi, suala si mimi kufurahi.

Nakwambia hivi, wanawake acheni kujiondoa akili kwamba mnaibiwa wanaume, kama vile hao wanaume ni mizigo hawana akili kabisaa.

Wanaume wenu wanaamua kuwaacha na kwenda kwa hao wanawake wengine.

Acknowledge that.

Mtu anaibiwa mzigo, haibiwi mwanamme.
 
Yeah wangu pia atakua mtamu balaa huko kwa watu, na wa wengine pia ni watamu mnoooo kwa kifupi.....ni utamuuu evere whea
😂😂😂😂 Endeleaa kumnoa vzr huyo wako uko ndan Ili akienda njee apate point tatu muhmu zaidii Kwa vitoto 2000 Kwa kuwafikisha .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…