The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
ila napenda jinsi unautani ndani ya lugha yakoUnarudiarudia unataka nijinyonge??
Hawa watoro wanatupa kazi sana aisee! Inabidi tuweke faini sasa ili wawe wanahudhuria.We shauri ako, hatutaki vilio huku....vilio tumewaachia wanaume.
Kikao cha mwisho cha wanawake tulikubaliana hakuna kulilia dudu, nakumbuka haukuwepo.
Atoto mpe zuu samare
Narudia tena, sina ukaribu naye. Huoni hadi nimemlipa jamani. Ni mtu tu nilimfikiria for the job.Sijui ila ukaribu wa hivyo na ex ni wa mashaka, wewe na huyo mumeo ni wale wale sasa ex unaendeleza ukaribu nae wanini na upo kwenye ndoa?
Huna ukaribu nae ila una mawasiliano nae, sawa. Labda huyo ex wako sio mwanaume.Narudia tena, sina ukaribu naye. Huoni hadi nimemlipa jamani. Ni mtu tu nilimfikiria for the job.
Tatizo linaanziaga mnapotumia mbunye kama control box, huduma inakuwa ya mgao kama Dawasco ili tu kulazimisha matakwa yenu katika mahusiano ndipo tunajiongezaga kutafta mibadala au michepuko.Kwahiyo yeye ale mema ya nchi nikila mie aaaahhh…
Hebu kuwa reasonable basi.
Kwakuwa umechagua kuteseka, basi tunasema teseka tu🤣Mtusamehe. Yani natamani ningeolewaga na mtu simfeel sahv ningekuwa miguu juu naenjoy zangu ila moyo wa baridi sinaa
Hili kundi mimi sipo. Jua tu hivyo. Sababu itakuwa nyingine ila hii naweza kujitetea hadi mwakani.Tatizo linaanziaga mnapotumia mbunye kama control box, huduma inakuwa ya mgao kama Dawasco ili tu kulazimisha matakwa yenu katika mahusiano ndipo tunajiongezaga kutafta mibadala au michepuko.
Mwanzo utajiona mwamba jinsi jamaa anavyokubembelezea utelezi. Ila ikifikia stage ameku ignore ndipo kasheshe huanzaga 🤣
Huyo Ex wako ambae bado una mawasiliano nae ndo mchepuko wakoMchepuko umenipa wewe bwana hebu msinitibue. Sio kila mtu anagawagawa ovyo.
Basi kama huduma ipo intact itakuwa ni maswala ya kubadilishana uzoefu tu. Mvumilie kijana apate fleva mupyer ya kitoto cha buku 2.Hili kundi mimi sipo. Jua tu hivyo. Sababu itakuwa nyingine ila hii naweza kujitetea hadi mwakani.
🤣Yani ukatombe 🔥🔥🔥 bila kujali?Hakuna kitu kinauma kama ke kukunyima unyumba unaweza toka na mwenye + na unajua kabisa!
Basi vumilia hizo ndio shida zenyewe zimeanza, raha si ushakula tayari?🤣Mume bwana wa Kanisani kabisa.
Kuna jamboo nimekumbukaa hapaa mpk machozi yananilengalenga😭😭nyiee wanaume basi tuu🙌🙌Huwa nasema, ukikuta Me ana ndoa na mkewe kwa miaka zaidi ya kumi bila kutoka nje ya ndoa, hakika huyo ni malaika. Ninaweza kuhitimisha kuwa 99% ya wanaume wenye ndoa za 10+ wamewahi kucheat at least once.