raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ukiingia tena kwenye simu ukakuta mwingine unalipia tena posaHuyu ni wa kwanza naenda na mbinu ya kidiplomasia. Nimemlengesha kwa fisi yes lakini anaweza pendwa huko akapata wake na yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiingia tena kwenye simu ukakuta mwingine unalipia tena posaHuyu ni wa kwanza naenda na mbinu ya kidiplomasia. Nimemlengesha kwa fisi yes lakini anaweza pendwa huko akapata wake na yeye.
Kweli Vijana kazi mnayo 😅😀😀😀😀
Ni kwel ni ubinafs tu,hasa hasa mali ndo zimeleta haya yote,Hata haumi kama unavyo dhani , zaidi sana ni ule ubinafsi tulio jaliwa sisi binadamu ndio umekupelekea kuona kuna maumivu kile kilicho chako kikawa kina tumiwa na mwingine.
Hapo una akili mama wewe. Haya majambo huwa na mwisho wake, kikubwa ni kubanana humo humo. Nimeipenda strategy yakoMi hata simuombei mabaya. Ila aniachie huyu baba jamani, sio issue
Kuoa muhimu sana swala la watoto na malezi bora ni jukumu la wazazi wote wawili.Kutuletea UKIMWI au sio?? Kwanini mnakuwa hivyo lakini? Bora tusioane basi tujue both teams to score
Pole sana, ukichepuka tuu umekwisha.Niwe tu mkweli, kwa ninavyojisikia hili wazo limenipitia mara kadhaa kwamba labda nitajisikia better.
Akija mtu na usiriazi anaweza kuniangusha (Mungu anitangulie). Nina hasiraa
Mume na mke nani anauma zaidi ?? Mdahalo mzito saba huuuu....Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa
Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.
Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.
Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.
My analysis of the situation;
Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.
Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.
Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…
Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Kwa kweli Mungu aingilie kati tuKweli Vijana kazi mnayo 😅
Anaweza kuolewa kweli lakn wote wakawa wanaendeleza uhusiano wao hapo vipi 😄 na posa umelipiaSijui kama nitaingia tena kwenye simu. Nimekoma! Ila nataka huyu akiondoka tuongelee haya mambo.
Mi sina shida akigonga watu huko nje but a whole relationship jamani? Aaa
Zurie kwanini Usimwache huyo Mwanaume Malaya asiyeridhika? Au kwa sababu ana hela?Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa
Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.
Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.
Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.
My analysis of the situation;
Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.
Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.
Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…
Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Achana naye kwanza njoo tujenge yetu kwanza njoo pm nipe locationHuyu ni wa kwanza naenda na mbinu ya kidiplomasia. Nimemlengesha kwa fisi yes lakini anaweza pendwa huko akapata wake na yeye.
Kuna utofauti wa kula tu ukaondoka. Ila unajenga uhusiano kabisa mnakaa masaa 4 mnaongea, mnataniana, unamjua kiundani, shida zake unamtatulia…unfair kabisaMwanamke mwenye hekima huwa hashangai mumewe akimcheat ndivyo tulivyo haturidhiki na K moja
Mfano mzuri ni aliyekuwa raisi wa Marekani Bill Clinton kwa miaka 2 alikuwa akimcheat mkewe Hillary Clinton kwa kutoka na secretary wake.
Na mkewe Hillary alijua lakini hakujihangaisha na mambo kama hayo unataka kufanya wala hakudai talaka kwa sababu alijua ndivyo tulivyo mpaka leo ndoa yao inatimiza miaka 49
Uzuri ni kwamba wanaume tunacheat with no emotions ni tamaa tu ndio maana tukishamwaga tamaa zinaisha ila upendo wetu kwa wake zetu unabaki palepale
Men are polygamous by nature
Pole Mkuu, ila ningekuwa Kijana ningetamani sana kujua ni kiasi gani una balaa zaidi ya huyo binti wa 2000😜 bahati mbaya tumezeeka sasa 🤗Hawezi kuwa na balaa zaidi yangu bwana. Hilo nalijua; basi tu wanaume ni fisi. Aaarghhh