Nasema hivi, Mume anauma!

Chuma kikiwa cha moto ndio muda mzuri wa kukiponda,
Ukisubiri kipoe,kitakua kigumu sana kupondeka kirahisi,

Endelea tu kusubiri huku Mumeo akiendelea kunywa Juice ya Tunda.
Ashakunywa sana Mkuu hadi sometimes naona haina maana tena. Yani kama hadi tulienda vacation na huyu mtu alikuwepo around yaani mi napewa card naenda shopping, huyu anaenda kuliwa.

Aah acheni nilie jamani. Naumia😭
 
Pole sana
ila njia uliyotumia sio nzuri. kuna njia za kusolve thing ambazo ni nzuri

imagine sasa ulivomtuma huyo ex vip akamfanyia ubaya? na hapa JF umeandika kabisa umemtuma na umempa hela ex wako amuendeee Police wanapita humu kila siku

nashauri hio part ya kumtuma ex wako ifute kwa thread 🙌🏾
 
Ila hawa mabinti wa 2000 Wana balaa sana

Sijui michezo ya bed wamejifunzia, Wana mbinu hadi za kutumia Vipipi katikati ya mchezo?

Ukija kutahamaki shamba la urithi umemwandika Kwa jina lake 😜🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
Umeona bila kusahau VITUNGUU wanajua kuvitumia Yan unakakamaa ukikojoa😁😁watoto wa 2000 tuwape mafrawaa yao
 
Sijamtuma kwa ubaya. Nataka amshawishi awe nae, a-divert attention yake.
 
Daaa! Pole My
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…