Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Nakupa ushauri tu we na mumeo nani ana hela ? Je anaihudumia familia ipasavyo ? Kama mumeo anasimamia majukumuyakwe kama mume we tulia ndani ya nyumba. Ziba masikio kama chura kiziwi. Komaa na maisha yako jiongezee thamani kama una biashara kazana nayo. Kama umeajiriwa hakikisha unapiga training yeyote itakayokuja upande wako. Na kama ukipata nafasi ya kuongeza shule ongeza ,mama yangu katika soko la ajira mwanamke na mwanaume wenye masters wana nafasi mbili tofauti.

Kama mumeo hana hela na wewe unasimamia majukumu ya mume achana nae haraka sana anakuchelewesha. Ukishachana nae kazana upambane kujiongezea thamani. Mwanamke unachagua mwanaume kwa kuchagua unayempa kibuyu cha asali. Ukiachana na mumeo hakikisha haugawi ovyo utamu tulia, kaa miezi sita usimpe mtu . Ukitulia vizuri kitumbua kitajitengeneza vizuri dada yangu. Siku ukija kumpa mtu kama mimi kinakuwa kitamu balaa na nakuweka ndani ukiangalia utakuwa umejiongezea thamani. Tatizo hamuwashirikishi mama zenu au wazee wenu. Mashangazi ni watamu kwa sababu hawaipigishi hovyo kama vitoto vya 2000. Nimmesisitiza maana wanawake mkiachana na mtu ni kama fungulia mbwa mnagawa kama Baa medi wa kwa macheni.
 
Zurie na kujibu kwa according ya wewe kulia . Sana kwamba umechitiwa na mume kisiri.

Kabla hujaoelewa ulikuwa kwenye kazi hihii na pia manager wako hamna mahusiano yeyote?? Je hujawahi kuwa na mume wamtu kabla hujaolewa na mme wako. Alikuwa naupendo?? Au alikuwa kakuoa tu . Katika maisha lazoma wanaume wacheat wake zao kwasababu hawawezi kuishi nawewe tu .

Haya maswali nakuuliza ili ujue kuwa kama umewahi kuwa na mume wamtu ukiwa mdogo kwa maslahi au kwa mapenzi bado, ndio saivi unalipizwa
Sijawahi kutembea na mume wa mtu deliberately. Nikiwa chuo nilikuwa na mahusiano na mtu nikaja kujua ni mume wa mtu. Niliachana nae ndani ya hiyo wiki licha ya kuomba sana.

Yani mtu wa mipaka ya kumpigia simu, kumtafuta, kuwa naye public mi simtaki.
 
Kwa kuwa umesema, huyo dada sio mtu wa kukwapua wanaume za watu, na kwa mumeo imetokea kibahati mbaya na hajui km baba ni mume wa mtu.

Basi muitee huyo dada na umpe onyoo kalii, naamini atamuacha chibaba wako.

Hiyo njia unayotaka kutumia, uta fail na uta fail haswaa, niamini mie.

Usijesema hukuambiwaa. Poleeeee sanaa.
Wife material
 
Sijawahi kutembea na mume wa mtu deliberately. Nikiwa chuo nilikuwa na mahusiano na mtu nikaja kujua ni mume wa mtu. Niliachana nae ndani ya hiyo wiki licha ya kuomba sana.

Yani mtu wa mipaka ya kumpigia simu, kumtafuta, kuwa naye public mi simtaki.
MIe siwezi.sema ila huyo mwanadada amefanya makusudi kuwa namumeo kwa.unavyooelezea historia yako hapo hujafunguka ila ukimtaka mumeo acha mazoea na mwanaume unayedhani ni.rafiki yako.mumeo atarudi huyo rafiki wakiume.ambaye is your best friend ndio huyo dada ni mtu wake ila hamjui kama amewajua kama huna huyo male friend basi unamwanaume.ambaye hajaoa mmezoeana naye achana naye huyo.ndio kitu yake.nayeye kaamua kukuloza uone.mume mchungu kama unavyoona saivi.sasa umelewa aliend akama kulipiza kisasi akanogewa kachukua jimbo
 
Kuna utofauti wa kula tu ukaondoka. Ila unajenga uhusiano kabisa mnakaa masaa 4 mnaongea, mnataniana, unamjua kiundani, shida zake unamtatulia…unfair kabisa
I feel your pain....ongea Na mumeo usikae Na io sumu wewe ndo utaendelea kuteseka huku wenzako wanaendelea kufurahia uzinzi wao
 
Kwamba katika miaka 10 tuliyokuwa pamoja tangu huyu binti ana miaka 10 furaha alikuwa anapata wapi?

Wanaume acheni ubinafsi jamani
[/QUOT
Yan naumia utafkiri nimechitiwa Mimi nawaza siku mume Wangu akinicheat nahisi nitakata moto
 
Ushenzi hakufanya na mie. Alifanya na wengine nikaujua.

Ni mwezi mchanga i agree lakini ni mtu loyal sana na ananijali.

And for the record, mi sijamganda huyu bwana. I am just not stupid enough kuacha familia tuliyojenga ivunjike kisa ameamua kugusanisha vikojoleo huko nje.
Mumeo akigundua mnawasiliana ma ex hatokusamehe Na Uyo ex anaweza kuharibu ndoa yako
 
Usipoangalia soon utavunja ndoa Na Uyo ex talaka itakuhusu
Lakini mi huyu ex sio kwamba nawasiliana naye kila siku. Hapana. Wala hatuko karibu.

Tangu tumeachana, kukaa naye ndo hii mara ya kwanza. Other times namuonaga tu hapa na pale na occassionally ataniambia happy birthday au ataniuliza kitu…lakini labda mara 1 kwa mwaka
 
Back
Top Bottom