Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

MIe siwezi.sema ila huyo mwanadada amefanya makusudi kuwa namumeo kwa.unavyooelezea historia yako hapo hujafunguka ila ukimtaka mumeo acha mazoea na mwanaume unayedhani ni.rafiki yako.mumeo atarudi huyo rafiki wakiume.ambaye is your best friend ndio huyo dada ni mtu wake ila hamjui kama amewajua kama huna huyo male friend basi unamwanaume.ambaye hajaoa mmezoeana naye achana naye huyo.ndio kitu yake.nayeye kaamua kukuloza uone.mume mchungu kama unavyoona saivi.sasa umelewa aliend akama kulipiza kisasi akanogewa kachukua jimbo
Hakuna mwanaume niliye karibu naye. Hakuna! Nina group yangu ya friends wa kike close-knit. Sijawahi hata kukaa na mwanaume be it wa ofisini au nje ya ofisini kihasara. And nampenda mume wangu, siwezi fanya kitu cha kumuumiza.

Hata hapa huwezi amini natamani aumie kama mimi ila namhurumia pia.
 
Lakini mi huyu ex sio kwamba nawasiliana naye kila siku. Hapana. Wala hatuko karibu.

Tangu tumeachana, kukaa naye ndo hii mara ya kwanza. Other times namuonaga tu hapa na pale na occassionally ataniambia happy birthday au ataniuliza kitu…lakini labda mara 1 kwa mwaka
Ushaur Wangu Kaa mbali Na Uyo ex IV unafkiri siku akienda kumwambia mumeo kuwa ulimtuma akamatongoze Uyo binti mumeo atakuekewa????? Unafkir mumeo hatahisi mna kitu kinaendelea Na Uyo ex...hii kesi ikienda Kwa wazazi wewe utaonekana mkosefu mwanamke kosa la mumeo kucheat halitakuwa Na uzito Ila wewe kosa lako kuwasiliana Na ex ishu YA ndani hivo utaonekana mkosefu
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Zilipendwa acha kutupigia mikelele!
 
Mwanamke pekee mwenye haki ya kulalamika mume wake anapomcheat ni yule aliyekutwa bikra

Wengine mlioukutwa K imeshaenda mileages za kutosha nini kinawashangaza mmeshawavulia chupi wanaume wangapi? Vumilieni tu mtazoea

Learn or perish
 
Hakuna mwanaume niliye karibu naye. Hakuna! Nina group yangu ya friends wa kike close-knit. Sijawahi hata kukaa na mwanaume be it wa ofisini au nje ya ofisini kihasara. And nampenda mume wangu, siwezi fanya kitu cha kumuumiza.

Hata hapa huwezi amini natamani aumie kama mimi ila namhurumia pia.
Sawa
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Wakina Jadda et al watakuja hapa wabishe na kusema ya kua mwanamke ana haki ya kua Malaya
 
Una pesa nyingi za kuchezea?!
Nilijua utapiga comeback na ex wako, kumbe unampa pesa akaharibu husiano??
Sasa akienda kutafuta mwingine naye utampa pesa?
Mimi aende mchezo na pesa sifanyi..! 😹😹😹
 
Mimi wa kwangu hawezi kucheat na hata akicheat siwezi kuumia kwa sababu najua mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja never ever.bora w kwako ana kitoto cha 2000 yaani hapo hakuna future anachakaza Tu hyo k.muombe Tu Mungu aendeshe salama asilete maradhi..
Ila muache afaidi mwanaume anaepata sex vizuri anaishi maisha marefu na afya tele
 
Kwa kuwa umesema, huyo dada sio mtu wa kukwapua wanaume za watu, na kwa mumeo imetokea kibahati mbaya na hajui km baba ni mume wa mtu.

Basi muitee huyo dada na umpe onyoo kalii, naamini atamuacha chibaba wako.

Hiyo njia unayotaka kutumia, uta fail na uta fail haswaa, niamini mie.

Usijesema hukuambiwaa. Poleeeee sanaa.
Uduguu umetoa ushauri mzuri sana, ushakuwa mkomavu na wana wa Israel 😂😂
 
Ila hawa mabinti wa 2000 Wana balaa sana

Sijui michezo ya bed wamejifunzia, Wana mbinu hadi za kutumia Vipipi katikati ya mchezo?

Ukija kutahamaki shamba la urithi umemwandika Kwa jina lake 😜🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
Oyaaa babu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom