Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… usaliti unauma ila sio kwa kiwango cha zuri ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… wengine mioyo ishapata ganzi, halafu hizo posa atalipia wangapi?

nachoona apambane na mumewe ameishi nae anamjua kuliko mchepuko bahati nyingine aliyonayo bwana bado anamfeel hapo kwenye kumuomba tamu ni wazi huyo dogo hajamteka kiivyo,
Mwambie anipe Chini aache kusingizia period isiyoisha kikomo period gani inaenda mpaka Mwezi?
 
Mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni ngumu Sana
msichukulie poa nyie wanawake hatuwezi kuwa sana Kwenye matamanio ya kingono
japo Kuna wanaume wachache wanaweza kuwa na mwanamke mmoja.

NB:
ukiwa na mwanamke mmoja atakufanyia vitu ambavyo vitakufanya uongeze wanawake wengine.
 
Njoo nikutoe stress.............nipo kwa ajiri yako kipenzi..............kwa nia njema tu lakini
 
Wacha kujidanganya tafuta suluhu ya tatizo na sio kuongeza matatizo..hata ukitiwa nje ila bado utakuwa stress tuu
 
Vp unataka kumuoa mkuu akiachika au na yeye akawe mchepuko wa waume za watu unapo mshauri mtu jambo mpe na njia ya kupita
 
Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza โ€œperiod haiishi?โ€ Nikamwambia โ€œnina stress labda imesababishaโ€. Akale huko huko nje aache uroho, alaaaโ€ฆ

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Zuu nawe,
Mi nilijua unaka unitafute nasi tum-cheat, sasa hapo wewe utafaidika nini?
Anyway, kupanga nikuchagua.
 
Hakuna u best wa mwanamke na mwanaume mi kama mumeo nkijua nakupa taraka 3 tena best mwenyew ex wako kuna matatizo mnayatafuta wenyew badae mna kuja kutulilia huku
 
Kwanz nkupe honger coz umefany bonge la wonders na kutumia mind Ako vzr ingekuw wengne hpo Tyr mpak mda huu connection hko Tik Tok
 
Back
Top Bottom