The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Tupe maaana ya definition ya ya uovu.Eleza ulichoelewa.
Sasa unanihoji mimi badala ya kuchangia mada. Wewe namna gani!
Wewe umeelewa nini?
hili bandiko linaeleza mantiki na si mfumo dume kwamba kitu fulani mwanamke akifanya ni uovu ila mwanaume sio. Ndio maana inabidi utuonyeshe aidha kwenye maandiko kwamba kuna utofauti wa uovu kwa mwanamke na mwanaume au kisheria au vyovyote vile.
Ni suala Jepesi tu tuonyeshe maana ya uovu kwa mantiki