Kuna watu huwa nawashangaa wanamponda MO eti hela za urithi,urithi kwa kizazi chako ni kitu chema,unakata mnyororo wa umasikiniMzazi mwema huacha urithi hadi kwa wana wa wa wanawe yaani wajukuu.
Hivi kama una mali za hadi kutumiwa na wajukuu utagombana na wanao kuwa hawakutunzi?!
Mali zako zitakutunza
Hadi Yesu arudi bila kuhusudu msaada wa watoto wako wala wajukuu.
Utaendelea kuwa mshauri tu wa nyendo zao ili kuepuka mabaya na familia zao.
Haa haa haa hapo namtizamia chini ya miwani yangu.Lakini konzi lazima ulipate
Utasikia huyu sijui atakuja kuongea nini si aendelee na vibarua vyake taarifa yakikao atapata tu hata asipohudhuriaUkiwa mzee halafu huna hela unadharaulika sana. Kama mimi hapa hata siitwagi kwenye vikao vya familia.
Deep down wazee wengi walikua wajinga wakawa wapumbavu inasikitisha Sana hii ila ni ukweli mchunguWalemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi. We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
Chai ya kijiwe hiiKuna mmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata alimwamkia tu mzee akamwambia nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi
Endelea kuwa na Imani hiyo, endelea kuwa mwema na wala usije kutoa Siri zake wala usimuibie. Hizi familia zetu hasa mke anapokuwa mbabe maelewano Huwa yanakuwa hafifu. Watoto wa kike mara nyingi wakiingiziwa ujinga wa mama Yao mbabe Huwa ni changamoto sana sana.Kuna mzee mmoja huwa ananiomba nimsaidie kutoa hell zake huwa aninipa password yake kbsa pia Ana watot 3 ila hawaamini Yuko radhi anisubiri mpk nije ndio nikamletee hella nmb au mpesa anazotumiwa za mazao shambn kwake ..
Watot wake wa kike alinifata nimpe namb za Siri za Bab ake ila nimegoma siku hz wananichukia San yey na mam yake mzeee ananimbia nikijaribu kutoa password nitakufa namm nimeingia ofu mbaya Ana account mbili za nmb na crdb hyo ya nmb ndio zilizoingiza hzo pesion
Mzee yule alishakuwa mpk mkurugenzi wa halmashuri kadha hapa nchin
Kwa kweli kila nilifanya muahama wowote napata 20000 jus Kati ndio akanikunjia Mia mbili baada ya kumuelezea tatizo Langu
Weka picha au ni chai???Mi wazee nawaheshimu sana.
Kuna Bar Moja nilienda hapo tabata Aroma, kuangalia mishe ya umeneja wa Bar.
nikamkuta mzee mmoja anagonga konyagi yani yuko tungi aisee mida ya saa nne asubuhi..
Mzee yule nimemkuta meza za mwanzo kabisa nikamsalimia vizuri akaitika. Nikaenda counter nikawaambia nimeleta CV zangu kwa kazi flani.
Wakanipokea, nikakaa pale kama nusu saa nasubiri INTERVIEW.
Baada ya muda yule dada wa counter akaniita ananiambia mzee anakuita (yule niliemsalimia mwanzoni) kwa ajili ya interview.
Dah nilijiuliza maswali mengi sana endapo ningempita bila salam ingekuwaje.
mzee tukasalimiana tena akaniomba vyeti na barua, akatazama pale huku anasifia.
Hapo hapo akaniambia You are my new Bar manager[emoji3062][emoji3062][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamani nilifurahi sana! nimekula laki 3 tatu hapo na posho miezi mitano nashukuru mpaka sasa nina mtaji wa Biashara
Daah msitufanyie hivyo wazee.Me wazee HUWA siwapishi kabisaaaa naaminigi kua maishani mwao wamepitia mengi na magumu kwahiyo HILI la kusimama kwenye gari ni chamtoto tu[emoji4][emoji4][emoji4]
Mbona easy mkuu sindikizia na boflo siku iisheWeka picha au ni chai???
Sifa kuu ya koo au familia maskini kila mtu huanza sifuri kujenga maisha yake ndio maana umaskini ni endelevu kwenye hizo koo au familia.Za matajiri wanaojielewa hawaanzii zero wanarithiKuna watu huwa nawashangaa wanamponda MO eti hela za urithi,urithi kwa kizazi chako ni kitu chema,unakata mnyororo wa umasikini
Aisee wewe Ni Kama Mimi.Wazee nawapisha vizuri tu..ujana wao haunihusu ..Ila mwenye mtoto hapana