Hiyo interview ilikua na ya watu wa mapokezi nini. Maana huwez mnyima mtu kazi kwa suala kama hilo, mtu ana profession yake na anaonekana kazi aweza.Kuna mmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata alimwamkia tu mzee akamwambia nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi
Kama ni utani, sawa!Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu. Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu, bodaboda used mpaka laki sita, hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda.
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao.
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke. Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi. We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimegundua we jamaa una sura ya upole.ilani mtata balaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waambie wajinga wanaoamini katika laana.
Tena ungekuwa karibu ungekula mitama na uzee wako
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna tangazo moja kwenye tv....mzee anapishwa kiti halafu anasaidiwa kusimamishiwa daladala....zee lenyewe limevaa cheni linaonekana tapeli..linawakilisha mazee mengi matapeli ya Dar es salaam
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Halafu ndiyo yakwanza kulalamikia wanawake hawsridhiki kumbe wao show mbofu mbofu [emoji23][emoji23][emoji23] ha haa haaVijana vingi vimelegea hadi makalio sababu muda mwingi ni kukaa tu iwe nyumbani vinakaa tu kwenye makochi vikiangalia movie usiku kucha kwenye daladala ni kukaa tu unakuta sasa hivi ndio maana vijana vingi vya kiume hata tendo la ndoa vichovu kuna ongezeko kubwa la Viitoto vya kike kupenda watu wazima kutoroka vijana sababu hiyo
Huko ndani hakuna kitu sasa wanaume wengi kwenye mti uyoga haa haa haa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] badala yashughulikia tatizo wao kulalamikia wanawake!Basi wanaochepuka kwasasa ni wengi kuliko wasiochepuka basi itakuwa binadamu wanaume wenye shida ni wengi kuliko wasiokuwa na shida kwa kauli yako.
Mimi sijaoa na ninaona wake wa waliooa wanavyotafunwa tafunwa bila sababu ya msingi, si kazini, si bodaboda, si mateja, mpaka unajiuliza hivi shida iko wapi.
Na hii sio dar tu, kote kote hata huko ambapo wala chips ni wachache.
Mambo mengine ni kudra tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimegundua we jamaa una sura ya upole.ilani mtata balaa.
Wazee wanasaidia sana, lakini mbona wanaume huwa wanasusa mpaka chakula eti anaenda kula kwa mchepuko [emoji3][emoji3]Hao no mademu wa kizazi chenu sisi zamani tulikanywa, mkichinja mbuzi mwanamke asile makende ya mbuzi Ile ni ya wababa Ila Sasa hivi mnawapa dada zenu unategemea nyege apeleke wapi?
Kisusio mwanamke anazuiwa kunywa Ila Sasa hivi unampa tu unategemea damu ikichemka apeleke ndululu wapi?
Ndio maana Kuna chakula ilikuwa mama anatenga kabisa anajua hiki ni Cha mumewe na akila anaijua shughuli yake, Sasa hivi mwanamke analewa tu mapimbe hajui chakula ya mume inaishia kupikiwa chips mayai nyumbani kwako au unakuta ameagiza eti kuku wa KFC maaaaambegese nitafukuza mtu. Wape wanao hayo madude Ila mie niwekee ugali au viazi au ndizi au chakula kinachoeleweka aisee.
Wanawake mnawanywesha Jaggermeister na redbull unategemea itokee nini na ukifika unampiga kimoja tu unalala? Ukiona anakunywa hiyo ndio ujipange usishindie kuagiza burger mzee kale ugali na mboga Saba mlenda usikose.
Ndio maana wazee wa muhimu sana endeleni kuwatukana
Wakati mwingine mnasingizia vyakula wakati ni hali zao tuNdio wazee wengi wana nguvu ndio maana hata wasipopishwa kiti wanasimama hadi mwisho hawaanguki chini kwa vichovu
Fuatilia vizuri basi hata lijae vipi wazee waliosimama wima huwa hawatoki mijasho lakini vijana mijasho kibao na hulalamika kuwa wanashindwa kupumua vizuri.
Stamina ziko chini kwa vijana wengi huo ndio ukweli na inasababishwa na vyakula legelege wanavyokula na behaviour legelege kwenye maisha kama hiyo ya kushindwa kusimama kwenye daladala hata saa moja tu hawawezi
Hahahaaa nyie watuSiti ya karibu na mlangi ndio kimeo kwa hizi ishu
Inatokea Sana hiiππππmmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata mzee akamwambia yule kijana nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi
[emoji1] [emoji1787] nilisikia pia dogo mwingine alikuwa anaenda kijiji kumoja kwa mganga wa kienyejimmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata mzee akamwambia yule kijana nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi