Nash Abdallah anayesoma magazeti Star Tv asubuhi

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
Wakuu,
Huyu Dada ana mwonekano/sura nzuri sana ya kishombeshombe.

Yaani huyu kama hajaolewa na bilionea nahama mji kabisa.

Mwenye details za marital status yake atujuze hapa,
Ili kama bado hajaolewa
tuanze kudunduliza mahari fasta.

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Sura pekee haitoshi kuwa mke, angalia tabia, mwonekano wa nje na ndani n.k.
 
huna details zake afu anasema kama hajaolewa na biliomea unahama sijui nini huko eboh!
 
Mmh!wakawaidaaa sana.Muambie asimame tuone alivyorithi kutoka kwa bibi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…