Nash Emcee anatualika tumpokee 'shujaa'. Ni shujaa gani huyo?

Nash Emcee anatualika tumpokee 'shujaa'. Ni shujaa gani huyo?

1493592187074.jpg
 
hip-hop lasted and survived all these year's that you have to give it credit,
Even thought it's not up to people expectations anymore,it's still there and that's say's alot"


-Nas!
 
Huyu msela mavi Nash aache upimbi asikilize vijana wanavyofanya mambo. La sivyo ataendelea kuwaimbia wagumu wenzake.

Niache kuskiza maujanja kama haya niskize frustrations zake.

 
Huyu msela mavi Nash aache upimbi asikilize vijana wanavyofanya mambo. La sivyo ataendelea kuwaimbia wagumu wenzake.

Niache kuskiza maujanja kama haya niskize frustrations zake.


DoGo Hiki Choo cha kihuni, kata GoGo sepa... Tutakubaka
 
Huyu msela mavi Nash aache upimbi asikilize vijana wanavyofanya mambo. La sivyo ataendelea kuwaimbia wagumu wenzake.

Niache kuskiza maujanja kama haya niskize frustrations zake.


Mkuu unahisi upo sahihi kumtukana Nash?
 
Huyu msela mavi Nash aache upimbi asikilize vijana wanavyofanya mambo. La sivyo ataendelea kuwaimbia wagumu wenzake.

Niache kuskiza maujanja kama haya niskize frustrations zake.




Sio 'frustrations zake' mkuu. Bali anarepresent the poor community ambayo ndo the majority.

Au unataka wasanii wote waimbe kuhusu 'bata' wakiwa nusu uchi kwenye video eeh?

Jamii inahitaji wasanii wa aina zote. Miongoni mwa kazi za fasihi ni kuelimisha na kuonya.

So acha kukebehi music wa Nash. Kuna a lot of followers wanaomuelewa anachokifanya.

Jamii doesn't learn anything potential kwenye hizo nyimbo zenu za bata.

-Kaveli-
 
Sio 'frustrations zake' mkuu. Bali anarepresent the poor community ambayo ndo the majority.

Au unataka wasanii wote waimbe kuhusu 'bata' wakiwa nusu uchi kwenye video eeh?

Jamii inahitaji wasanii wa aina zote. Miongoni mwa kazi za fasihi ni kuelimisha na kuonya.

So acha kukebehi music wa Nash. Kuna a lot of followers wanaomuelewa anachokifanya.

Jamii doesn't learn anything potential kwenye hizo nyimbo zenu za bata.

-Kaveli-
Huyo zuzu kama anavyojiita hajawai iwakilisha jamii anaimba frustrations zake na kutukana wenzake plus chuki wivu kijiba kwa wasanii wenzake wanaofanya vizuri.

Kuna wanaHiphop hawaimbi bata na mziki wao tunaupenda na wanaimba kuhusu jamii haswa sio huyo msela mavi.
 
"Hakuna aliyetegemea kama ungerejea hasa kipindi hiki ambacho mengi yametokea, achana na maneno wapumbavu wanayoongea, kwa vita uliyopigana tulidhani ungendondoka kwa ushindi wako huu nakuongezea nyota, kweli umedhiirisha wewe ni mzizi usiyong'oka"

Mkuu Kaveli big up sana kwa kuleta hili goma la kusumbua ubongo... Maalim mcee mzee wa V.V.U kwa hii ngoma namfananisha na Hopsin. Ngoma za huyu muhuni huwa zina multiple interpretations.

Kwenye hii ngoma shujaa ni kama thamani "x" kwenye Quadratic equation hapa utapata jibu la positive na negative na yote ni majibu sahihi.

Binafsi hii ngoma naona maudhui yaliyomo yamelenga serikali ya awamu ya tano kwa kiasi kikubwa.

Ukisikiliza mwanzoni mwa verse ya pili(kipande nilichonukuu hapo juu) utaona ni kama ana sifia wapambanaji wa vita vya madawa ya kulevya na kuwapondea wote wanatoa tuhuma dhidi ya bashite. Hapa shujaa ni bashite

Hapo hapo kwenye verse ya pili inaonyesha awamu hii hatuna mtetezi na mtetezi wetu pekee ni kupaza sauti lakini sauti hiyo nani wa kuipaza kila mtu anaogopa!? Hapa inaamisha hatujapata shujaa bado na sisi wenyewe ndio mashujaa lakini hatujui kama sisi ndio mashujaa.

Ngoja ntaendelea baadae...


Uchambuzi murua kabsa mkuu, salute.

Hakika nyimbo hii Maalim Nash ameipika ikapikika. Ni sanaa ambayo inareflect maudhui zaidi ya moja. Yani haina jibu moja tu, na hii ndo FASIHI iloshiba.

Hii pini hata huku kitaa wadau wanaichambua ktk mitazamo tofauti tofauti.

Kuna mzee fulani hivi rafiki yangu ni dereva taxi, anapenda sana kusikiliza nyimbo za hip hop. Basi juzi nikameet nae, ananiambia "hii nyimbo, huyu kijana Nash amerusha jiwe gizani".

-Kaveli-
 
Ngoma kama hizi ndio zinafanya hip hop isiwe na mashabiki wengi... Na nyimbo za akina darasa ziendelee kuwa popular


Hahaha mkuu umenichekesha sana kwa hayo maneno kuntu.

Watu wanataka nyimbo za Bata. Ndo maana unakuta 'Weka mziki' ya Darasa ina listeners wengi kuliko 'Shujaa' au 'Naandika' za Maalim Nash.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom