Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
- Thread starter
- #81
Mkuu salute kwako umewaza sana arifu.
Maalumu hii ngoma amekusanya matukio mengi sana na kuyaweka humo ndani na kila moja kalipa uzito sawa na ndio maana ina consume a lot of brainpower kung'amua na hatimae kupata kitu kimoja kinacho summerize ngoma nzima.
Ukisikiliza verse ya kwanza na ya pili utaona bora ya pili ndio inayotoa muongozo kwa urahisi na kukupa the whole idea ya ngoma.
Huu muziki wa hip hop bhana muda mwingine ukisimamia misingi yake kwa uthabiti unaleta shida kwa hadhira.
Ndio maana akina joh makini wameamua kukimbilia kutunga nyimbo za disco tu.
Hahaha wanajiita Weusi. Wanafanya 'modern hipHop'.. commercial kind of.
-Kaveli-