Nash MC ana elimu gani?

Nash MC ana elimu gani?

10mil

Member
Joined
Jun 14, 2019
Posts
64
Reaction score
79
Huyu jamaa naweza sema ni mwanahip hop bora Tanzania ambaye hajawahi kubadilika,wako malegends kama Sugu au Jay ila huyu jamaa ukisikiliza nyimbo zake utagundua ni msomi,na pia anatumia kiswahili sanifu.

Album yake mpya kuna nyimbo kama maneno,barua toka Bangui,viwango vyake vya mashairi inaonekana mtu tafiti.


Nadiriki kusema ni msanii wa hip hop asiyebadilika na mwenye mashairi yanayofundisha
 
Huyu jamaa naweza sema ni mwanahip hop bora Tanzania ambaye hajawahi kubadilika,wako malegends kama Sugu au Jay ila huyu jamaa ukisikiliza nyimbo zake utagundua ni msomi,na pia anatumia kiswahili sanifu.

Album yake mpya kuna nyimbo kama maneno,barua toka Bangui,viwango vyake vya mashairi inaonekana mtu tafiti.


Nadiriki kusema ni msanii wa hip hop asiyebadilika na mwenye mashairi yanayofundisha
Huyu jamaa namkubali maana anatumia kiswahili bila kuchanganya na kingereza.
 
Mbona hajulikani?? Ni wa wapi?? Wimbo wake Unatrend...Una views ngapi?
 
Back
Top Bottom