mFuKuZa nDoTo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 492
- 639
Ona alivyovaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpumbavu fulani hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona alivyovaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpumbavu fulani hivi
mzee na wewe unasikilizaga Hip Hop?Akale ubwabwa kwa Babu madevu
mwaka gani?Wakati nasoma Kibasila nilikua naenda kula chakula kwa mama ntilie maarufu kwa jina Mama Bwege nimemuona sana kwenye hilo eneo kwa ajili ya msosi.
Kwa stori zake anazopiga sioni kama ana elimu kubwa sana.
taratibu mzee[emoji3][emoji3][emoji3]Ona alivyovaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpumbavu fulani hivi
vipi kuhusu mohammadWanahiphop wa bongo wanajifanya wanaijua hiphop kuliko kina Jay Z
Ubaya wa mwafrika akiletewa kitu anajifanya kukifahamu kuliko mletaji
Hata hizi dini, waliozileta walishaanza kuzipuuza lakini mswahili humwambii kitu na ndio wa kwanza kuwatuhumu wazungu ni wapinga kristo
Mzaramo eti anamjua kristo kuliko mzungu
2013mwaka gani?
Basi nimekosea sana kumjudge.Nash MC namfahamu vizuri mkuu, ana degree ya chuo kikuu Cha SUA-- Morogoro
Nimesikitika na nimeshangaa Sana wadau wengi walisema et Hana elimu yoyote
Kamaliza degree yake SUA around 2005_2009
Sisi wazee wa Country muzikmzee na wewe unasikilizaga Hip Hop?
Wote ni wale wale, mnyakyusa nae anaanza kuvaa pedo, vilemba na makubazi wanaita sunna ya bwana Muddyvipi kuhusu mohammad
Kingereza hajuhiHuyu jamaa namkubali maana anatumia kiswahili bila kuchanganya na kingereza.
world wide kwa iko iko kiswahili tupu?Jamaa anajua sana,atafute managrment ili kaz zake ziuzike world wide
au hii ya kuzika bila jeneza wanasema kule jangwani hamna mitiWote ni wale wale, mnyakyusa nae anaanza kuvaa pedo, vilemba na makubazi wanaita sunna ya bwana Muddy
Wakati yale mavazi wenzao wanavaa kutokana na mazingira ya jangwa na joto
nikajua na wewe ni mzee wa yo!!!yo!!!Sisi wazee wa Country muzik
unaukubali mziki wake?2013
Siyo nyimbo zote.unaukubali mziki wake?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] taja unazozikubaliSiyo nyimbo zote.
Dah jamaa nilikuwa simfuatiliagi ila baada ya kumsikiliza maelezo yake nimetokea kumkubali ghafla.Nash anatema English safi tu kwa level yake. Msikilize hapa alipokuwa Berlin Germany mwishoni mwa mwaka 2018:
-Kaveli-