Nash MC hakika album yako ya Diwani Y Maalim umekata kiu ya wengi

Mkuu hii ndo contact halisi ya Nash Mc,album ni 7000,kaweka mwenyewe matangazo Instagram ukimtafuta anakutumia album nzima kwa WhatsApp au email
Ok sawa.ngoja nitakutafuta nikipata vihela
 
Hiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.

Swagah ndiyo ugoro gani?
"Maneno" by Nash Emcee.

-Kaveli-
 

Ile king kunta ni new school??
I' nayo je??
Hao uliowataja wana tofauti gan na eminem mana nae ni oldskool adi leo na flow yake ni ileile ya kupga makelele tokea miaka hiyo.
 
Wew una matatizo
 
Acha utani mkuu ngoma za bonta zote zinafika top ten ukienda interior uko wulize watu wanaomjua nash hakuna lakini bonta watakuambia ni msaanii wa hiphop,sio kweli mziki content hiphop haiwi promoted mziki wowote mbaya hautakiwi.
Hasi 15
Shujaa
Sauti
Naandika
Vvu

Kwangu hizi ni best kutoka kwa maalim
 
Hiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.


!
!
Wewe Jamaa Ni Mqundu Mno Aiseee. Jipw Muda Kusikiliza Hii Albam. Ni Zaidi Ya Ushuzi Wooote Unaoujua
 


!
!
Nakushauri Jipe Muda Kusikiliza Hii Albamu Ya #DiwaniYaMaalim. Nakuhakikishia Ukirudi Kujadili Hapa Utajadili Kwa Mtazamo Tofauti Kabisa.
 
Mmmh wabongo bwana kwa kujifanya much know!! Kwa iyo wewe unaifahamu hip hop kuliko Nash Maalimu! Sijui umenielewa au nirudi nimelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…