little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Ila MWANAHARAKATI nayo ni balaa.Dizonga ni wimbo wangu bora katika ile album ajabu hakutoa video yake ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila MWANAHARAKATI nayo ni balaa.Dizonga ni wimbo wangu bora katika ile album ajabu hakutoa video yake ...
Dizonga ni wimbo wangu bora katika ile album ajabu hakutoa video yake ...
Ila MWANAHARAKATI nayo ni balaa.
Maalim yupo straight sana, na kweli kama ni mtu wa aina hii ya miziki lazima ujue wapi pa kuzipata. Wazee wa kudanlodi kitonga sana wanataka albam waipate Kwa bando la buku tu. Kavu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Salamu kwa wana wote niliokuwa nao na kucheza pamoja,Harakati za wapiganaji na wavuja jasho kama kina mwalimu Mashaka na kina Dizonga, kupitia salaam za amani.
Dirisha ni dogo, na tumechoka! Lakini hayo ndiyo maisha. [emoji41]
Live long Mhadhiri Nash.
-Kaveli-
Daah unanikumbusha home sweet home, Dovya Kuna timu ilikua inaitwa Liverpool enzi hizo aiseeSalamu kwa wana wote niliokuwa nao na kucheza pamoja,
Maisha yametugawa hawa buza wale dovya.
FC CHAVI CHAVI MKALI -----
Hiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.