Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Watu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia? Inatisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi??Wewe maisha ya watu yanakuhusu Nini? Kikubwa wadumishe upendo wajenge familia imara mengine watazidishiwa.
Mpo huku wengi sana na harusi kubwa yanini na mnapenda kupangaMaisha ya watu yanakuhusu nini ?? Ilitakiwa kwenda kuwauliza hayo maswali wenyewe??
Wewe njooo kwangu bhana,sisi tutafunga tukiwa kwetu mamiloooWatu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia ?? Inatisha
Wewe tu huna kwako usitupigie keleleMpo huku wengi sana na harusi kubwa yanini na mnapenda kupanga
Ongeza, na jtatu yake wanagombania magari ya kivukoni.Watu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia ?? Inatisha
Kuna watu umewapiga kwenye mishono. Tulieni, dawa inatafuta ugonjwaWatu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia ?? Inatisha
Jenga nyumba wewe acha akili za kivilana. Aliyejenga hio nyumba uliyopanga angekua na akili kama zako asijenge ungepanga wapUnajenga kwenye ardhi ya serikali huo ni upumbafu kabisa
Mbona marekani kila mtu kapanga na hakuna noma,acha fikira za kimasikin hapa dunian tunapita
Kwetu kama huna nyumba mke huna usiige ujinga jengaUnajenga kwenye ardhi ya serikali huo ni upumbafu kabisa
Mbona marekani kila mtu kapanga na hakuna noma,acha fikira za kimasikin hapa dunian tunapita
Jengeni kwanza ndio muoane mtu akifa kwenye nyumba yakupanga mtaishije kama familia iliyokuwa inamtegemea Bora ambao hawana hela Sasa sherehe kubwa unapanga makubwa sherehe iwe ya budget kama Huna Pango hela zingine nunueni uwanja mjengee hii ni aibusasa unataka sisi tufanye nini 🤷♀️🤷♀️
Nahitaji tuwaombee ndoa ni Raha mkiwa kwenu uwanja wenu sikia huyu bogas eti najengaje kwenye kiwanja Cha serikali , jinga kabisa , .. kuoa ni Raha ukijua unaenda kwako sio Kwa mwenzako unalala Kwa Amani eti unadaiwa Kwa mweziOngeza, na jtatu yake wanagombania magari ya kivukoni.
Huo ni ubogaz. Simama tuombe
Nchi gani hiyo ambayo wenye nyumba ndo wanaruhusiwa kuoa?Kwetu kama huna nyumba mke huna usiige ujinga jenga
[emoji3]Nchi gani hiyo ambayo wenye nyumba ndo wanaruhusiwa kuoa?