Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
Wamasai , waarusha , wameru , wachagga wakupi msichana wao kama Huna nyumba kabisa fanya research maana kama Huna nyumba unawezaje kulipia mahari hata ng'ombe mmoja ??Nchi gani hiyo ambayo wenye nyumba ndo wanaruhusiwa kuoa?
Fanya tafiti wanawake wa kaskazini hawanaga time na wanaume wasiojielewa kama utamkuta anao huyo sio ukoo pure meaning mama mfipa , baba mwarusha lazima mtoto aisiwe Masai og ila kama ni wakaskazini Kwa kaskazini tumeona huchukui msichana hivi hivi