Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
sitaki shida,,nataka mwenye ana nyumba na gari kabisa 😂😂Hapo unatumia akili sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitaki shida,,nataka mwenye ana nyumba na gari kabisa 😂😂Hapo unatumia akili sasa
Tako unalo?sitaki shida,,nataka mwenye ana nyumba na gari kabisa 😂😂
weweeee niache Kwani 😂😂😂😂Tako unalo?
Vile pesa ni donation so lazima zitumike siku ya harusi sawa....Watu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia?? Inatisha
Wengi wanafanya "show off"Watu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia? Inatisha
Sasa wee hutakiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natukijenga kisha tukawaoa bado likija suala la talaka mnataka pasupasu(50/50) [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee ungetakaSasa wee hutakiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Isiwe kuona kwa kuliana timing za kwenye mali ila ni kwa maendeleo ya familia yote kwa ujumla kuanzia sisi wazazi hadi kwa vizazi vyetu na maanisha hadi wajuukuu, wajekufurahia watakavyo vikuta kipindi hicho...Sasa wee hutakiiii??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()