Nashangaa mnaolalamika maisha magumu Tanzania

Nashangaa mnaolalamika maisha magumu Tanzania

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Katika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha Tanzania ni marahisi sana na pesa zipo nyingi aisee.

Hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha.

Mimi siuoni yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma international school maana pesa ipo nyingi sana tanzania hii na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya Tanzania.
 
FB_IMG_17238039754096873.jpg


Tanzania pesa ipo nje nje... Ni kujiongeza tu
 
Kwanza jiulizeni mtu anayesomesha watoto watano intaneshno ada si chini ya 50+ milion kwa mwaka kwa watoto hao watano tena ni zile International za bei ndogo zile anaweza kupata mda wa kuandika nyuzi humu na kujibu kila komenti tusifanyane mabwege wazee uk
Mbona unahasira Mimi sio baba yako hizo mbona pesa ndogo tu Kwa hapa tanzania maana pesa zipo nyingi sana
 
Back
Top Bottom