Nashangaa mpaka leo CCM hawaonyeshi kutambua mchango wa Captain John Komba

Nashangaa mpaka leo CCM hawaonyeshi kutambua mchango wa Captain John Komba

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Siwapendi CCM ila juna wakati nikisikiliza nyimbo za Caotain Komba huwa nabaki natabasamu,maneno kama mtaisoma namba,CCM ni ile ile,yanakera na kufurahisha kwa wakati mmoja.

CCM wanapiga tu nyimbo zake sijui kama familia yake Inafaidika na hizo nyimbo. Kama hamuwezi kumlipa mjengeeni mnara basi kwenye kaburi lake tu itatosha

Huwezi kukuta mkutano wa maana wa CCM nyimbo zake zikaachwa kupigwa,hazichuji,wengine tumeanza kumsikia tangu enzi za kampeni za Mwinyi

Niliumia siku aliposema akitokea mtu wa kumsaidia kupunguza uzito atampa zawadi naamini uzito uliopitiliza ulichangia kumchukua mapema.

RIP classmate
 
Kuna kituo kama unaenda kibaha-kiluvya kinaitwa "kwa Komba". Si inatosha? au??
 
Pesa hz!,unakula mpaka unapitiliza na unakufa mapema kwa mafuta kujaa mwilin

Wakat huo pro janabi hakuwepo

kOmba alituliza sana wakat wa kifo cha nyerere
 
Nambari one eheee nambari wani ni CCM
Jogoo limeshawika dodoma
Ndugu yetu mwenzetu mwalimu nyerere.
Wacha waisome namba.
 
Siwapendi CCM ila juna wakati nikisikiliza nyimbo za Caotain Komba huwa nabaki natabasamu,maneno kama mtaisoma namba,CCM ni ile ile,yanakera na kufurahisha kwa wakati mmoja.

CCM wanapiga tu nyimbo zake sijui kama famia yake Inafaidika na hizo nyimbo. Kama hamuwezi kumlipa mjengeeni mnara basi kwenye kaburi lake tu itatosha

Huwezi kukuta mkutano wa maana wa CCM nyimbo zake zikaachwa kupigwa,hazichuji,wengine tumeanza kumsikia tangu enzi za kampeni za Mwinyi

Niliumia siku aliposema akitokea mtu wa kumsaidia kupunguza uzito atampa zawadi naamini uzito uliopitiliza ulichangia kumchukua mapema.

RIP classmate
Wacha wamdhulumu tu maana akiwa hai naye alishiriki kikamilifu kuhamasisha watanzania kushabikia ujinga wa ccm.

Nakumbuka aliwahi kusema ataingia msituni ili kuhakikisha ccm haishindwi
 
Wacha wamdhulumu tu maana akiwa hai naye alishiriki kikamilifu kuhamasisha watanzania kushabikia ujinga wa ccm.

Nakumbuka aliwahi kusema ataingia msituni ili kuhakikisha ccm haishindwi
Msitu na lile tumbo
 
Sasa kumekuchaaa jogooo limekwisha wikaa dodooomaaa .....kada wa ccm ......kada wa ccm apewe kura za ndio.
Hiii hata gen z wanaijua😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom