GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Lakini TFF lazima niifute kwanza, ninawaomba Watanzania mnipe ridhaa yenu nikaifute TFF ndio inayotuletea migogoro, hizi timu zetu zisingekuwa na migogoro, mara migogoro na wawekezaji mara migogoro na wachezaji lakini chanzo ni wao".Cecilia Mmanga.
ITV Tanzania
Japo Rais wa TFF Wallace Karia ni Simba Sports Club Mwenzangu, ila 'ninaichukia' TFF kwa 'Kuzibeba' waziwazi Simba na Yanga hadi wanaharibu.
===
MMANGA: NITAVUNJA UONGOZI WA TFF, NITAKINUA SOKA LA WANAWAKE
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema chama chao kinajali michezo na jambo la kwanza kufanya ni kuvunja uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
Amesema atafanya hivyo kwa kuwa uongozi wa TFF ndio wanaoleta migogoro kwa sababu haiwezekani mchezaji mwenye mkataba akahamia timu nyingine na ukaacha tu
Pia amesema atainua mpira wa miguu kwa wanawake kwa kuwa hivi sasa mpira wa miguu umetoa kipaumbele kwa wanaume. Pia amesema watatoa kipaumbele kwa michezo mengine
Amesema watafufua hata mchezo wa Bao na kufundisha watoto kwa kuwa unatumia hesabu nyingi, Lakini amezungumzia zaidi mpira wa miguu kwa sababu unaangaliwa na wengi
ITV Tanzania
Japo Rais wa TFF Wallace Karia ni Simba Sports Club Mwenzangu, ila 'ninaichukia' TFF kwa 'Kuzibeba' waziwazi Simba na Yanga hadi wanaharibu.
===
MMANGA: NITAVUNJA UONGOZI WA TFF, NITAKINUA SOKA LA WANAWAKE
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema chama chao kinajali michezo na jambo la kwanza kufanya ni kuvunja uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
Amesema atafanya hivyo kwa kuwa uongozi wa TFF ndio wanaoleta migogoro kwa sababu haiwezekani mchezaji mwenye mkataba akahamia timu nyingine na ukaacha tu
Pia amesema atainua mpira wa miguu kwa wanawake kwa kuwa hivi sasa mpira wa miguu umetoa kipaumbele kwa wanaume. Pia amesema watatoa kipaumbele kwa michezo mengine
Amesema watafufua hata mchezo wa Bao na kufundisha watoto kwa kuwa unatumia hesabu nyingi, Lakini amezungumzia zaidi mpira wa miguu kwa sababu unaangaliwa na wengi