Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe na ndio khali ya mazingira yetu wala hakuna shida.Ummu nadhani ana godfather kwenye system ila hana sifa ya uwaziri.
Kutesa kwa zamu, Binafsi wala sioni sababu ya kumuongelea mtu wa ovyo kama huyo zaidi ya kuomba Bi Tozo aondoke na hizi takataka zake alizotuletea watanzania.Yule Kilaza Marope Junior na Nishati anajua hata Maana ya Umeme kwani ?
Kutesa kwa zamu, Binafsi wala sioni sababu ya kumuongelea mtu wa ovyo kama huyo zaidi ya kuomba Bi Tozo aondoke na hizi takataka zake alizotuletea watanzania.
Nakumbuka Jakaya aliwahi kusema Uwaziri hausomewi popote ! Yaani hakuna chuo cha Uwaziri !! Maana yake yeyote anaweza kuteuliwa kukaa pale !! Nilishindwa kumuelewa !!Katika wataalamu Tanzania huyo mtu sio poa kwenye afya and more; she is a genius.
Dorothy Gwajima ni mtaalamu ambae angeweza iboresha hiyo wizara basi tu. Kumuelewa inataka ujue misingi ya management ya wizara ya afya.
I remember some fool tried to lie to her whilst doing inventory auditing on medicines.
During the process not to be taken as an idiot the woman quoted ‘Schrödinger’s equation’ in auditing process when numbers dint add up.
To appreciate the joke you ought to understand the auditing process, how she implied quantum physics and what it she was trying to say (either way it tells you the woman has depth).
Yaani kabisa huyo mtu unaweza mfananisha na Ummy Mwalimu that is just beyond me.
Tozo issue atukatai zinaleta hasira. Maumivu zaidi ni kuona wahusika wenyewe ni watu ovyo wanatuongezea maumivu,Duuh...kweli watu mmevurugwa sana. Au na hasira za tozo zinachangia?
Hatar sn!Gwajima+Mollel=Rubbish
Ummy+Mollel=Rubbish
2019,2020 pigeni nyungu kuleni na malimao Corona haipo!!!
2021,2020 Jamani tuchanje Tanzania sio kisiwa hadi sasa tuna vifo 750!!!!
Wewe ndo mpumbavu, umetuona wapi watanzania tukimwondoa Gwajima na kumpa wizara ya afya Umi? Kwani akifanya mtu mmoja ndo watanzania wote tumesema afanye. Wewe siyo mtanzania ambaye unatuita watanzania wapumbavu? Huna akili wewe.Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
That’s politics na yupo sahihiNakumbuka Jakaya aliwahi kusema Uwaziri hausomewi popote ! Yaani hakuna chuo cha Uwaziri !! Maana yake yeyote anaweza kuteuliwa kukaa pale !! Nilishindwa kumuelewa !!
My bad niwie radhi kwa upuuzi wangu wa majumuisho.Wewe ndo mpumbavu, umetuona wapi watanzania tukimwondoa Gwajima na kumpa wizara ya afya Umi? Kwani akifanya mtu mmoja ndo watanzania wote tumesema afanye. Wewe siyo mtanzania ambaye unatuita watanzania wapumbavu? Huna akili wewe.
Yaani ni sawa na mtaalam wa wanyama ukamuweke wizara ya madini na aliyesomea madini ukamuweke wizara ya michezo !! Ni mfano tu. !That’s politics na yupo sahihi
Tatizo ni kwamba tumearibu civil kuweka wataalamu sahihi wa kuwa shauri mawaziri.
Matokeo yake mawaziri inabidi inalazimika wawe technocrats sasa ukizingatia wengi hawana huo utaalamu na succession planning ya civil services imevurugwa si shida hiyo.
Ndio maana wengine kumnanga Ummy Mwalimu kuhusu hiyo proposal ya kukusanya watu wengi kujiunga kwenye bima ya afya tunaelewa sio matatizo yake ni wapuuzi tu ambao hawajui how things work where such policies have been implemented.
Matatizo ya Tanzania ni mengi kwa kifupi.
Kwa kifupi ummy mwalimu ni afisa habari wa wizara ya afya, sio waziri... anaamini kuongea na waandishi kila siku ndio kupiga kazi, ila kiukweli hana uwezo, geajima ndio palimfaa pale...Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Wa tz hatuchagui mawaziri, ni utashi wa raisi mtu flani kuiongoza wizara flani.Kabisa
Inarudi kwenye uelewa wa mambo.
Hakuna mtu mwenye akili timamu wa uelewa wa jinsi wizara ya afya inavyotakiwa kusimamiwa ataweza sema kuna mtu bora zaidi ya Dr Gwajima.
But then inataka uelewa wa medical knowledge and management policies to appreciate.
Mwamba nilimkubali kwa mengi lakini kwa hili nilimkatalia kabisa kabisa na nikawa namhurumiakwamba jamaa ana risk maisha yake na ya wengine !!Naongezea, akumbukwe kwa mchango wake uliotukuka katika vita dhidi ya corona. Sijui ni nini kilimkuta mpaka akayaacha haya mapambano katikati 🐒
View attachment 2371152View attachment 2371153View attachment 2371154
View attachment 2371160View attachment 2371156
Wanasema politics ndivyo ilivyo! Yeyote anaweza kuteuliwa popote na ni sahihi kufanya hivyo !! Sasa lawama ziende kwa nani ? Aliyeteua au Ziende kwa Politics ??Kwa kifupi ummy mwalimu ni afisa habari wa wizara ya afya, sio waziri... anaamini kuongea na waandishi kila siku ndio kupiga kazi, ila kiukweli hana uwezo, geajima ndio palimfaa pale...
Hawa Wataalam kama Gwajima wanaoanzia Halmashauri ovyo kabisa. Nina mashaka huyu aliyekuwa DMO na baadae RMO hajawahi ku practise bali alikuwa Administrative Doctor. Lakini cha kusikitisha amekosa hata hekima za Kiuongozi tulizotegemea awe nazo kwa yeye kuanzia Kwa madiwani huko Halmashauri. Ovyo kabisa huyu unaemtetea!Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah