Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hao ni wale watu waliopata trip ya kusafiri kwenda nje ya nchi ,basi wao wamebaki lawama wakati hawana msaada hata kwa watoto yatima.
Mpira na mziki huko nje ndio watu wanashabikia mpaka kujazana kweny kuangalia mziki na mpira ....Wapo wengi sana humu wazee wa lawama maneno kibao ila hawana logic kabisa ..Kuna mmoja anaitwa kiranga yeye anaongelea mambo ya nje katika nchi ya Africa , yeye kama ni smart akaishi huko ila atambue yeye ni mweusi sio mzungu.
Mpira na mziki huko nje ndio watu wanashabikia mpaka kujazana kweny kuangalia mziki na mpira ....Wapo wengi sana humu wazee wa lawama maneno kibao ila hawana logic kabisa ..Kuna mmoja anaitwa kiranga yeye anaongelea mambo ya nje katika nchi ya Africa , yeye kama ni smart akaishi huko ila atambue yeye ni mweusi sio mzungu.