Nashangaa wanaolaumu wenzao kuwa hawajafanya kitu katika nchi huku nao hawafanyi kitu

Nashangaa wanaolaumu wenzao kuwa hawajafanya kitu katika nchi huku nao hawafanyi kitu

Hao ni wale watu waliopata trip ya kusafiri kwenda nje ya nchi ,basi wao wamebaki lawama wakati hawana msaada hata kwa watoto yatima.

Mpira na mziki huko nje ndio watu wanashabikia mpaka kujazana kweny kuangalia mziki na mpira ....Wapo wengi sana humu wazee wa lawama maneno kibao ila hawana logic kabisa ..Kuna mmoja anaitwa kiranga yeye anaongelea mambo ya nje katika nchi ya Africa , yeye kama ni smart akaishi huko ila atambue yeye ni mweusi sio mzungu.
 
Wewe umefanya nini maana na wewe si mtanzania
Mapinduzi huwa hayafanywi na mtu mmoja.
Ni lazima uhamasishwaji ufanyike ili watu wa aina yako wapate ufahamu idadi ya watu ifikie angalau milioni 30(nusu ya Watanzania) wawe na mwamko ndipo nchi itabadilika.
Mtu mmoja hatokuwa na uwezo wa kubeba msalaba/mizigo ya wazembe wote hilo jambo haliwezekani
 
Mapinduzi huwa hayafanywi na mtu mmoja.
Ni lazima uhamasishwaji ufanyike ili watu wa aina yako wapate ufahamu idadi ya watu ifikie angalau milioni 30(nusu ya Watanzania) wawe na mwamko ndipo nchi itabadilika.
Mtu mmoja hatokuwa na uwezo wa kubeba msalaba/mizigo ya wazembe wote hilo jambo haliwezekani
Mapinduzi unatakiwa ufanye wede uuwawe Ili watu tuone kumbe upo serious ila sio mapinduzi ya jamii forum
 
Hao ni wale watu waliopata trip ya kusafiri kwenda nje ya nchi ,basi wao wamebaki lawama wakati hawana msaada hata kwa watoto yatima.

Mpira na mziki huko nje ndio watu wanashabikia mpaka kujazana kweny kuangalia mziki na mpira ....Wapo wengi sana humu wazee wa lawama maneno kibao ila hawana logic kabisa ..Kuna mmoja anaitwa kiranga yeye anaongelea mambo ya nje katika nchi ya Africa , yeye kama ni smart akaishi huko ila atambue yeye ni mweusi sio mzungu.
Wenzako wanaongelea hoja za Kitaifa kiujumla wewe unamuattack mtu personally ni kama ulikuwa na kinyongo naye inavyoonekana.
Mtu anayekushauri ufunguke kiakili ili kujikomboa haupaswi kumchukia bali unapaswa kuzichukua hoja zake na kuzipima kwa ulinganifu huku ukijiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.
 
Mapinduzi unatakiwa ufanye wede uuwawe Ili watu tuone kumbe upo serious
Ndio lazima wawe wengi yaani haiwezekani mtu mmoja peke yake aachiwe kuwapigania watu milioni 60 wewe unaona kuna uwiano hapo?Yaani mambo yote aachiwe mtu mmoja ina maana watu milioni 59.9 wote wakae tu kwani wamekuwa misukule?
 
Ndio lazima wawe wengi yaani haiwezekani mtu mmoja peke yake aachiwe kuwapigania watu milioni 60 wewe unaona kuna uwiano hapo?Yaani mambo yote aachiwe mtu mmoja ina maana watu milioni 59.9 wote wakae tu kwani wamekuwa misukule?
Basi wewe muoga nyumbu tu huwezi mapinduzi
 
Yaani kuna kitu huwa nashangaa sana utakuta humu mtu anasema vijana wanashinda kuzungumzia mpira hawalipambanii Taifa yaani mtu anaongea kama wenyewe sio Mtanzania, yaani anamlaumu wenzake wakati naye yupo hai anaona yanayoendelea nchini na hajafanya chochote sijui anataka nani ampambanie

Hao anaowalaumu hawajawahi kumuomba hata hela ya kula ila kila siku anaanzisha Uzi humu kuwalalamikia

Sasa nachojiuliza ukiona watu wapo bize na muziki au mpira kwani wanakupunguzia nini maana kama duniani ulikuja peke yako, shobo za nini?

Kila mtu abebe mzigo wake yaani umasikini wa mtu anakuja kulaumu watu wengine hii kali aise
Kuwa busy na mambo ya Yanga na Sinba ni ujinga,
 
Yaani wewe mtoto wa kiume umekaa tu unangojea mwanaume mwenzako akupiganie kila kitu huoni aibu?na wanawake watasemaje?
Nipiganiwe nini Mimi pesa ninayo nyie masikini ndio mnasubiri wanaume tuwapiganie Kila siku kubana pua humu eti vijana hatuwezi taifa tunawaza simba na yanga au hujielewi mzee
 
Yaani kuna kitu huwa nashangaa sana utakuta humu mtu anasema vijana wanashinda kuzungumzia mpira hawalipambanii Taifa yaani mtu anaongea kama wenyewe sio Mtanzania, yaani anamlaumu wenzake wakati naye yupo hai anaona yanayoendelea nchini na hajafanya chochote sijui anataka nani ampambanie.

Hao anaowalaumu hawajawahi kumuomba hata hela ya kula ila kila siku anaanzisha Uzi humu kuwalalamikia.

Sasa nachojiuliza ukiona watu wapo bize na muziki au mpira kwani wanakupunguzia nini maana kama duniani ulikuja peke yako, shobo za nini?

Kila mtu abebe mzigo wake yaani umasikini wa mtu anakuja kulaumu watu wengine hii kali aise.
Huyu amelipa kodi na hiyo kodi haijaleta mrejesho wa maana kwani hali ni ileile aliyoiacha mwalimu Nyerere, sasa wewe unamshindanisha na asiyekusanya kodi!
 
Yani wewe Mjane umetoka kwenye ule uzi ukakimbilia kuja kuanzisha huu uzi huku kwa spidi kama Mama mjamzito anayewahi kwenda kujifungua kwenye wodi ya wazazi,

JF sio dampo la kila takataka zako unakuja kumwagia humu.
 
Yani wewe Mjane umetoka kwenye ule uzi ukakimbilia kuja kuanzisha huu uzi huku kwa spidi kama Mama mjamzito anayewahi kwenda kujifungua kwenye wodi ya wazazi,

JF sio dampo la kila takataka zako unakuja kumwagia humu.
 
Yani wewe Mjane umetoka kwenye ule uzi ukakimbilia kuja kuanzisha huu uzi huku kwa spidi kama Mama mjamzito anayewahi kwenda kujifungua kwenye wodi ya wazazi,

JF sio dampo la kila takataka zako unakuja kumwagia humu.
Bado hujasema na utasemaa tu
 
Yaani kuna kitu huwa nashangaa sana utakuta humu mtu anasema vijana wanashinda kuzungumzia mpira hawalipambanii Taifa yaani mtu anaongea kama wenyewe sio Mtanzania, yaani anamlaumu wenzake wakati naye yupo hai anaona yanayoendelea nchini na hajafanya chochote sijui anataka nani ampambanie.

Hao anaowalaumu hawajawahi kumuomba hata hela ya kula ila kila siku anaanzisha Uzi humu kuwalalamikia.

Sasa nachojiuliza ukiona watu wapo bize na muziki au mpira kwani wanakupunguzia nini maana kama duniani ulikuja peke yako, shobo za nini?

Kila mtu abebe mzigo wake yaani umasikini wa mtu anakuja kulaumu watu wengine hii kali aise.
Hiyo inaitwa 'blame game' au kwenye psychology inaitwa 'projection' - yaani ni weakness ambayo kimsingi ni yako, lakini unaiona kwa watu wengine.
 
Back
Top Bottom