Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #41
Pambana na Hali yako mzeeHiyo inaitwa 'blame game' au kwenye psychology inaitwa 'projection' - yaani ni weakness ambayo kimsingi ni yako, lakini unaiona kwa watu wengine.
Yaani nimi naelezea hao wanaolaumu maana yake huwa ni weakness yao, ila wanaiona kwa watu wengine (wanadhani watu wengine ndiyo wenye tatizo na siyo wao), halafu unadhani post yangu ilikuwa kukukosoa wewe?Pambana na Hali yako mzee
Wewe kumbe bado upeo wako ni mdogo sana,unadhani nchi ikiharibika anayeathirika ni maskini tu?wewe kwa vihela vyako unadhani serikali inakujua?Je vihela vyako vinatosha hata kununua uraia wa nchi nyingine?vihela vyako vinatosha hata kukodi ndege binafsi ukitaka kwenda kuenjoy au kubadilisha mazingira?wewe sijui unaandika kutokea kijiji ganiNipiganiwe nini Mimi pesa ninayo nyie masikini ndio mnasubiri wanaume tuwapiganie Kila siku kubana pua humu eti vijana hatuwezi taifa tunawaza simba na yanga au hujielewi mzee
Pes ninazo hata za kuhamia nchi nyingine na nikaishi bila kufanya kazi miaka hata 1000 nazitumia tu pambana na Hali yako umasikini wako usituletee huku na nchi haiwezi kuharibika kisa masikini kama nyie mnapiga kelele kwasababu mnanjaaπ€£π€£π€£π€£Wewe kumbe bado upeo wako ni mdogo sana,unadhani nchi ikiharibika anayeathirika ni maskini tu?wewe kwa vihela vyako unadhani serikali inakujua?Je vihela vyako vinatosha hata kununua uraia wa nchi nyingine?vihela vyako vinatosha hata kukodi ndege binafsi ukitaka kwenda kuenjoy au kubadilisha mazingira?wewe sijui unaandika kutokea kijiji gani
Ndio maana yakeMara nyingi maandamano ni fursa, Ukiitwa uandamane fahamu kuwa kuna wenzako mpo nao hapo wamepata chochote kitu. Uamuzi ni wako, kutumika au kuwatumia wengine.
Mungu aanze na weweKama mleta mada una zaidi ya miaka 20,Mungu akusaidie sana
SijuiComment zako zinatosha kutueleza wewe ni mtu wa aina gani
Kumbe hapa napoteza muda wangu kubishana na mtoto wa shule ambaye hata hajui ni nini maana ya kuwa na pesa,hajui hata ni nini maana ya utajiri.Pes ninazo hata za kuhamia nchi nyingine na nikaishi bila kufanya kazi miaka hata 1000 nazitumia tu pambana na Hali yako umasikini wako usituletee huku na nchi haiwezi kuharibika kisa masikini kama nyie mnapiga kelele kwasababu mnanjaaπ€£π€£π€£π€£
Tafuta hela hamna mtu wa kuhangaika na hii serikali Kila mtu kazaliwa kivyake pambana na Hali yakoKumbe hapa napoteza muda wangu kubishana na mtoto wa shule ambaye hata hajui ni nini maana ya kuwa na pesa,hajui hata ni nini maana ya utajiri.
Usikute baba yake anamiliki Passo kisha anavimba kijiji kizima kwamba nyumbani kwao ni matajiriππππππ
Wewe unajuaje kuwa sina hela?unanifahamu?Mada yetu inahusu ustawi wa nchi yetu pamoja na kuhamasisha vijana wasiojitambua kama wewe waamke,sasa ukitaka kila mtu aonyeshe hela alizonazo humu Jf si itakuwa vurugu patakalika humu?Tafuta hela hamna mtu wa kuhangaika na hii serikali Kila mtu kazaliwa kivyake pambana na Hali yako
πππ maua nyng sana hii n ujumbe bora wa mwez anatowa post ya maandamano alaf yy ataki kuwa mbuz wa kafaraYaani kuna kitu huwa nashangaa sana utakuta humu mtu anasema vijana wanashinda kuzungumzia mpira hawalipambanii Taifa yaani mtu anaongea kama wenyewe sio Mtanzania, yaani anamlaumu wenzake wakati naye yupo hai anaona yanayoendelea nchini na hajafanya chochote sijui anataka nani ampambanie
Hao anaowalaumu hawajawahi kumuomba hata hela ya kula ila kila siku anaanzisha Uzi humu kuwalalamikia
Sasa nachojiuliza ukiona watu wapo bize na muziki au mpira kwani wanakupunguzia nini maana kama duniani ulikuja peke yako, shobo za nini?
Kila mtu abebe mzigo wake yaani umasikini wa mtu anakuja kulaumu watu wengine hii kali aise
Mwenye hela hawezi kuangaika na huo ujinga hata siku Moja ambao mnahangaika ni choka mbaya kama wewe acha njaa kafanye kazi boya weweWewe unajuaje kuwa sina hela?unanifahamu?Mada yetu inahusu ustawi wa nchi yetu pamoja na kuhamasisha vijana wasiojitambua kama wewe waamke,sasa ukitaka kila mtu aonyeshe hela alizonazo humu Jf si itakuwa vurugu patakalika humu?
Mwenzako nakutetea wewe hata huko Tanzania sipo tunafanya ni kwa ajili ya kuwaamsha vijana wa hovyo kama wewe ambaye unajiona unajua kumbe kichwani ni zero brainMwenye hela hawezi kuangaika na huo ujinga hata siku Moja ambao mnahangaika ni choka mbaya kama wewe acha njaa kafanye kazi boya wewe
Umetetee nani eti kuwaamsha vijana wakati wewe ndio unatakiwa uamke na umasikini wako fanya kazi acha njaa njaa mtandaoni Kila mda kulaumu serikali utaishia kupiga kelele humu na huna utalofanya na maisha yanakuchapaMwenzako nakutetea wewe hata huko Tanzania sipo tunafanya ni kwa ajili ya kuwaamsha vijana wa hovyo kama wewe ambaye unajiona unajua kumbe kichwani ni zero brain
Umetetee nani eti kuwaamsha vijana wakati wewe ndio unatakiwa uamke na umasikini wako fanya kazi acha njaa njaa mtandaoni Kila mda kulaumu serikali utaishia kupiga kelele humu na huna utalofanya na
wewe endelea tu kujimwambafy huko kwenu NamtumboUmetetee nani eti kuwaamsha vijana wakati wewe ndio unatakiwa uamke na umasikini wako fanya kazi acha njaa njaa mtandaoni Kila mda kulaumu serikali utaishia kupiga kelele humu na huna utalofanya na maisha yanakuchapa