Uongo gani mkuu tena wameanza hao!
waite majina yoooteee, kama ipo, ipo tuu....unaonekana na wew ni mbana pua na mvaa jeans mbano za rangi ya njano na pink....hun jipya na hao wafu fm wako....
kwa kuwatungia uongo . Na kama
ana ushahidi wa aliyoyaongea basi akatoe vielelezo mahakamani. Na
akishindwa wamdai fidia nzito kwa kuwachafulia radio yao ili iwe
fundisho kwake na kwa wengineo wote wanapokosa soko na kukimbilia
kutunga uongo ili watoke.
Mkuu mbona umeongea kwa uchungu sana??? Au weye KIBONDE???Hivi utatangazaje kuwa radio haipigi nyimbo zako hivi kwani unawalipa au una mkataba nao . Radio zina utaratibu wao na uamuzi wao. Kusema eti clouds wanafanya mpango afukuzwe kwenye ukumbi anaoutumia pia huo ni uongo na utoto . Hivi huo ukumbi hana mkataba. Watanzania wengi wanapenda njia za mkato. Kama muda wako umepita huwezi ku force. Acha wenzako nao wa shine
Jamani eee mbona watanzania tunakuwa hatupo nyuma katika masuala ya watu binafsi??? Tuwaachie wenyewe bwana
hahahaha ila ASIGWA mkuda xana ariif xo mwana kawa kibonde
Hivi utatangazaje kuwa radio haipigi nyimbo zako hivi kwani unawalipa au una mkataba nao . Radio zina utaratibu wao na uamuzi wao. Kusema eti clouds wanafanya mpango afukuzwe kwenye ukumbi anaoutumia pia huo ni uongo na utoto . Hivi huo ukumbi hana mkataba. Watanzania wengi wanapenda njia za mkato. Kama muda wako umepita huwezi ku force. Acha wenzako nao wa shine
mambo ya ex lovers ukiyaingilia utashindwa mwenyewe!!!