kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 328
Kwa kuwatungia uongo . Na kama ana ushahidi wa aliyoyaongea basi akatoe vielelezo mahakamani. Na akishindwa wamdai fidia nzito kwa kuwachafulia radio yao ili iwe fundisho kwake na kwa wengineo wote wanapokosa soko na kukimbilia kutunga uongo ili watoke.