Katibu inaweza kubadilishwa kwa manufaa ya taifa. Ushauri wangu, Zanzibar hainufaiki kwa elimu na afya kwasababu ya udogo wake. Tanzania bara tuna nufaika na kutumia mbinu zinazofanana kuanzia kujenga shule, maabara, hospitali na vyuo vya afya.
Wenzetu wa Zanzibar wanapata shida maana hizi wizara zinanufaika kwa ukubwa kuanzia manunuzi ya dawa, vifaa na hata mikataba. Sijaona sababu ya msingi ya hizi wizara kuwa tofauti. Kama kuna sababu za msingi tujulisheni na tujadili hapa.
Wenzetu wa Zanzibar wanapata shida maana hizi wizara zinanufaika kwa ukubwa kuanzia manunuzi ya dawa, vifaa na hata mikataba. Sijaona sababu ya msingi ya hizi wizara kuwa tofauti. Kama kuna sababu za msingi tujulisheni na tujadili hapa.