Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Subiri waislamu waje watasema wametengwa kwa sababu wameona alama ya msalaba hapo kwenye jezi?

CC Zero IQ
Sio Kila Alama ya cross ni msalaba. Tukatae basi na alama ya jumlisha. Barbara nyingi zina Katisha Alama za msalaba Nazo tusipite hapo. Maisha halisi sio hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kasema huo ni msalaba mat@ko yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu hiyo kama imelenga watanzania wote basi Nawewe ukiwa mmoja wao,

Nini kinachokufanya uone wana IQ ndogo walio design hiyo jezi?

Sent using unknown device
 
Magari ya wagonjwa yana alama ya jumlisha na si msalaba . Tofautisheni + na msalaba. Huo ni msalaba.

Mi sina shida na huo msalaba ila hiyo jezi hata kama mtu umkristo yaani haivutii hata kidogo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…