avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Tafsiri ya udini unao wewe kwenye ubongo wako!!! kwanza hata mbunifu wa marembo haya yanayoonekana ni muislamu na hakuwa na lengo wala mambo yoyote ya kiimani kwenye kichwa chake acheni ushambaWakuu habari inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii ni uzembe wa TFF kuja na aina ya jezi ambayo ina msalaba ndani yake.
Suala hili si la kufanyia mzaha na linaweza kuligawa taifa pamoja na kurejesha nyuma morali na hamasa ya kuishangilia Taifa Stars.
Tanzania haina dini hivyo kuingiza alama ya dini fulani katika Taasisi ya kitaifa sio tu ni kitendo cha kizembe bali ni hatari kwa mustakbali mzima wa amani ya nchi yetu.
View attachment 1052174