Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.

Darasani ulikuwa unaruka hesabu za kujumlisha (+) kisa zina msalaba? Acheni bangi, Taifa staz kwanza mengine baadae
 
Hili ni kosa kubwa inabidi wavae jezi zao zile za siku wakivaa hiyo misalaba yao waislam kuishangilia msalaba ni haramu kisheria
Waislam wataona bora Uganda ashinde kuliko timu ya kanisa
 
Wewe huo sio msalaba ni pande zote za tanzania njooni uwanjani kaskazini kusini mashariki magharibi acha kuppotosha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa ni huo msalaba wakivaa hizo jezi kesho hamtaamini kitachotokea
Hamuwezi kuifanya Tanzania alama yake iwe misalaba
Mbona barcelona ina alama ya msalaba lakini inachukua vikombe vikubwa vya dunia, lakini yanga na simba ambayo haina alama ya misalaba haijawahi hata kuchukua ubingwa wa afrika?

Sent using unknown device
 
Msalaba ni Imani sio mchoro tofauti na hapo waislamu wasifanya hesabu za kujumlisha.
 
Huyu aliyeleta uzi huu is an idiot wapi hiyo alama inaonyesha ni msalaba
 
Mi napendekeza serikali iweke alama ya msalaba kwenye pesa zote za noti, nione wenye imani kali kama watazitupa na kubaki masikini

Sent using unknown device
 
Niwakumbushe tu kwa Waislam ni haram kuvaa jezi hii na ni bora wakajiweka mbali nayo
Nikukumbushe tu na wewe umeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah, suala la mipira hajakuelekeza.

]Kupata hakuna kudogo
 
Haya mambo bwana sisi wa Africa nani katulog? kuna msalaba wa namna hiyo wenye michanochano mikononi? Halafu mbona za Man U zinaalama kama hiyo ma Pogba anavaa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…