soka255
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 1,860
- 1,321
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaelimu gani unayo ringia watu au ndy ile yakuzini nakumuomba baba mchungaji msamaha? au kuweka biblia kwapani ndy usomi unaozungumzia?Naona unaendeleza yale yale ya waislamu kutokua na elimu..nimekwambia zungumza kuhusu mimi achana na hao mamilioni...au hauna shule umesoma madrasa tu wewe enh?
Msalaba vertical line ni mrefu kuliko horizontal line,ni tofauti na alama hii + umeelewa juhaSisi hata kwenye njia mpishano zinazo onekana hivi[emoji809] hatupitagi kamwe.
Bora wangeweka alama hii[emoji287], tusinge laumu kabisa.
Kuanzia leo ktk somo lolote la hisabati alama ya kujumlisha + tutaigomea nayo. Ni alama ya Wakiristu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuona mpaka ukapimwe macho CCBRT ,wahi upate tiba ya machoHuyu aliyeleta uzi huu is an idiot wapi hiyo alama inaonyesha ni msalaba
Nyie mnaojidai wasomi hamjui hata alama ya jumlisha au Ndy elimu ya kanisani ilivyo kujumlisha mnaweka msalaba poleni sanaHv kwani msalaba una tatizo gani hapo?
Na nani aliesema km ni msalaba, je km mi kujumlisha?
Kwhy unataka kusema watu wote wanaolalamika hawajawahi kbs kuvaa nguo yenye alama za namna hiyo au maandishi ya kiislam?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana ndy maana mvua hainyeshiPunguzo la bia halafu msalaba kwa hiyo tuseme ni coincidence
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Safi sanaMsalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huo msalaba mlitaka mtuoneshe nini hasa na huo ukafiri wenu
jof3 wa michano
Siku zote mtu akishindwa nahoja hubaki kutoa matusi na maneno mabovu kama wewe waiislamu hawaongozwi kwa mihemko na matusi ni watu wastaarabu
+ not equal to †Basi na shuleni tutoe alama ya Jumlisha maana imekaa. Kama msalaba
Itakuwa vema mno wachezaji wote wa timu ya Taifa wazigomee kuvaa hizo jezi kwani vinginevyo zitawaletea mgawanyiko mkubwa na watashindwa kuconcentrate na game na hatimaye kufungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutana na upumbavu wa aina hiyo twitter hivi mtu mzima na akili zako unakaa na kuwaza upumbavu tu,! Taifa hili tumeendekeza kukosoa kosoa tu na watu wanaona sifa..Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale muslims wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!
Mkuu unajua kuna misalaba ya aina ngapi? Na unajua kila msalaba una maana yake kama kweli ni msalaba?Hakukuwa na sababu ya wao kuweka hio alama japo sijui waliona hataleta chochoko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi wewe bora uchinjwe watu wanywe mchuzi hata kama kuna uhuru wa maoni watu kama nyie kwenye mapambano bora tu uwe chakula ya risasi.!Kanisa 0 - 5 Uganda.
Mi muislam utaniwekeaje msalaba kwenye jezi.
Alama ya kujumlisha pembe zote
sawa. Tukubali jersey imekosewa siyo sawa kumvesha muislamu msalaba/alama ya msalaba kifuani.
Tolerance huna hata ivo lugha unayotumia si nzuri please cool downMbuzi wewe bora uchinjwe watu wanywe mchuzi hata kama kuna uhuru wa maoni watu kama nyie kwenye mapambano bora tu uwe chakula ya risasi.!
Kuliko kupotosha na kukatisha tamaa watu wanaopambana kwa ajili ya kizazi chako..
Bora tu nikutusi mkuu. Wewe ni Mbweha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina elimu ahera..hahahahaWewe unaelimu gani unayo ringia watu au ndy ile yakuzini nakumuomba baba mchungaji msamaha? au kuweka biblia kwapani ndy usomi unaozungumzia?
Sent using Jamii Forums mobile app