Nashauri ianzishwe Kozi ya Bachelor of arts in artifical intelligence (AI) vijana waendande na kasi ya wenzao duniani

Nashauri ianzishwe Kozi ya Bachelor of arts in artifical intelligence (AI) vijana waendande na kasi ya wenzao duniani

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Naomba nieleweke ni Arts sio Science.
Kimsingi kasi ya matumizi ya AI karibu katika kila kitu mitandaoni ni kubwa na kuna baadhi ya taaluma zitakufa kifo cha mende.

Napendekezwa ianzishwe kozi maalum ya jinsi ya kutumia hii kitu kujipatia kipato katika real life na kuachana na yale mamitaala ya kusoma vitu vigumu ambavyo hakuna pa kuvitumia.

Sasa hivi kwa AI unaweza kufanya kitu kilichokua kinatumia miezi kwa sekunde tu.

Mfano
Kazi zote za graphics designing. Unaandika tu biashara yako na unachotaka kufanya, system inakufyatulia kila kitu kuanzia logo, mabango,kila kitu.

Wadau wenye ujuzi zaidi mnaweza kuyoa mifano zaidi.

Kasi ya AI inatishia makampuni makubwa duniani.

Kuna haja taifa kureview vinavyofundishwa ili vibaki tu vile ambavyo vitawashindanisha vijana wetu na vijana wenzao duniani.
 
Yaani hakuna tuwezalo na itachukua miaka mingi sana kuwafikia hata 30% ya walipofika wenzetu

Tuachane na kukariri
 
AI ukikuta inaelezewa na mtu aliyekariri na Muongo utaogopa sana.

Na wengi wanaoshupaza shingo kuhusu AI wengi ni vilaza vilaza tu.


AI ilikuwepo, ipo na itakuwepo.
Hakuna kipya cha kushangaza haya yote yalifanyika 10 yrs wayback. Mfm ishu ya graphics watu hawatumiii PS wakaopt Canva.

Watu wakaachana na PS wakaopt Snapchat etc ile Snapchat yenyewe ni AI tupu.

Ishu ni kwamba watu wanahisi AI ni lidudee likuubwa kumbe ni kitu ambacho kipo in practice muda mrefu mnoo.
 
Kweli mkuu ila elimu iendane na vitendo
Elimu yetu bado sana wazungu vijana wa 6th form wanatengeneza dawa za binadamu
Sisi PhD wanakimbilia ubunge
Mfano microsoft walipunguza magraphics designer baada ya kuwa na AI designing tool ambayo unaielekeza tu unachotaka inakufanyia kwa sekunde.

Mambo yako kasi balaa.
 
Mfano microsoft walipunguza magraphics designer baada ya kuwa na AI designing tool ambayo unaielekeza tu unachotaka inakufanyia kwa sekunde.

Mambo yako kasi balaa.
Watu wanafanya mambo mengi sana na wanavumbua kila siku mapya
 
Naomba nieleweke ni Arts sio Science.
Kimsingi kasi ya matumizi ya AI karibu katika kila kitu mitandaoni ni kubwa na kuna baadhi ya taaluma zitakufa kifo cha mende.

Napendekezwa ianzishwe kozi maalum ya jinsi ya kutumia hii kitu kujipatia kipato katika real life na kuachana na yale mamitaala ya kusoma vitu vigumu ambavyo hakuna pa kuvitumia.

Sasa hivi kwa AI unaweza kufanya kitu kilichokua kinatumia miezi kwa sekunde tu.

Mfano
Kazi zote za graphics designing. Unaandika tu biashara yako na unachotaka kufanya, system inakufyatulia kila kitu kuanzia logo, mabango,kila kitu.

Wadau wenye ujuzi zaidi mnaweza kuyoa mifano zaidi.

Kasi ya AI inatishia makampuni makubwa duniani.

Kuna haja taifa kureview vinavyofundishwa ili vibaki tu vile ambavyo vitawashindanisha vijana wetu na vijana wenzao duniani.
Humans Need Not Apply v240P[426x264, 15:00]
 
Back
Top Bottom