Watake radhi mkuu!
Hiyo ni kazi ya Polisi.
Walioibua MV Nyerere iliyozama kati ya Ukerewe na Ukara Septemba 20, 2018 ni nani kama siyo Marine Commandos wa TPDF Navy Division?
Taswira zote kwa hisani ya google
View attachment 2079602
View attachment 2079587
Combatant TPDF Navy servicemen in rescue mission in Ukerewe-Ukara Islands September 20, 2018.
View attachment 2079603
TPDF-Navy-led mission to bring afloat the sunken MV Nyerere September 20, 2018. Chadema walimsusia JPM (joke! joke! joke!)
..sijui sasa hivi hali ikoje.
..lakini wakati wa ajali they were not ready.
..na ajali ilitokea karibu na nchi kavu.
NB.
..hivi JPM alikwenda kuwazika wahenga wa ajali?
..yule bwana alikuwa mtu wa hovyo kiasi cha kupuuza kwenda kuaga askari waliofariki DRC na waliouawa na magaidi wa Mkiru.