GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Nlisoma maelezo ya mtu mmoja kumtaka mbunge wa chadema avunje ndoa baada ya mumewe kuhamia ccm. Nlishangaa zaidi kuona kuna watu wanaunga mkono jambo hilo.
Ndoa siku zote hubak kuwa ni makubaliano ya watu wawili tu ambao sababu zao za kukubaliana na kuish pamoja wanazijua wao. Siasa itabaki kuwa siasa kama ambavyo kuna watu wameoana wakishabikia simba na yanga.
Sasa huyu mtu asiye na ufaham anawezaje mshawishi mwenzie avunje ndoa sabab mumewe kahamia ccm? Hii ni akili ya wapi?kwan walioana kwa minajiri gan? Kama ni wakristo ndoa zao huwa ni ngumu zaidi.maana wao hutenganishwa na kifo. Huwez sema mumeo au mkeo kahamia chama flan basi hafai tena kuwa mumeo au mkeo
Kuoana si kuchukuliana akil na ufaham. Bado kila mtu atabaki na utashi wake na ndo maana kwa mimi siwez mwambia mtu abadili dini ili nimwoe. Kama mtu anabadili dini aamue kwa utashi wake otherwise abak na dini na bado tuoane kwa makubaliano fulan.
Unaweza mshawishi mwenzio aachane na mumewe au mkewe sababu ya siasa ni sababu hujui maana ya ndoa. Kwenye ndoa mnaweza pingana lakini mwisho wa siku mnasupportiana katika jambo la msingi hamwez pingana hadharani.
Na bado kitendo cha jesca kishoa kufanya press conference kumsema mumewe alikosea sana kwa tamaduni za ndoa na malezi mazuri. Kumsema mumeo mbele za watu kuwa ni mwanaume asiye na msimamo ni ukosefu wa adabu wa kiwango cha juu.
Mwanamke mwenye hekima angesema tu hayo ni maamuzi yake yeye kafulila hayahusiani na yeye mke. Then maswali mengine aulizwe yeye mhusika. Kwa kafulila kuhamia ccm hajavunja katiba ya nchi na hajavunja katiba ya chadema. So why jesca asumbuliwe?kuonekana na mumewe hotel ni jambo jema kabisa nami nasisitiza wanapokuwa wao wawili wabak kama mke na mume na wanapokuwa kwenye siasa watabak kuwa wapinzani wa kisiasa.
Kinyume na hapo tusije siku moja tukahoji inakuaje jesca amepata mimba ya david kafulila wakati kafulila ni ccm. Tutenganishe ndoa na siasa. Tutenganishe hisia na siasa.
Ndoa siku zote hubak kuwa ni makubaliano ya watu wawili tu ambao sababu zao za kukubaliana na kuish pamoja wanazijua wao. Siasa itabaki kuwa siasa kama ambavyo kuna watu wameoana wakishabikia simba na yanga.
Sasa huyu mtu asiye na ufaham anawezaje mshawishi mwenzie avunje ndoa sabab mumewe kahamia ccm? Hii ni akili ya wapi?kwan walioana kwa minajiri gan? Kama ni wakristo ndoa zao huwa ni ngumu zaidi.maana wao hutenganishwa na kifo. Huwez sema mumeo au mkeo kahamia chama flan basi hafai tena kuwa mumeo au mkeo
Kuoana si kuchukuliana akil na ufaham. Bado kila mtu atabaki na utashi wake na ndo maana kwa mimi siwez mwambia mtu abadili dini ili nimwoe. Kama mtu anabadili dini aamue kwa utashi wake otherwise abak na dini na bado tuoane kwa makubaliano fulan.
Unaweza mshawishi mwenzio aachane na mumewe au mkewe sababu ya siasa ni sababu hujui maana ya ndoa. Kwenye ndoa mnaweza pingana lakini mwisho wa siku mnasupportiana katika jambo la msingi hamwez pingana hadharani.
Na bado kitendo cha jesca kishoa kufanya press conference kumsema mumewe alikosea sana kwa tamaduni za ndoa na malezi mazuri. Kumsema mumeo mbele za watu kuwa ni mwanaume asiye na msimamo ni ukosefu wa adabu wa kiwango cha juu.
Mwanamke mwenye hekima angesema tu hayo ni maamuzi yake yeye kafulila hayahusiani na yeye mke. Then maswali mengine aulizwe yeye mhusika. Kwa kafulila kuhamia ccm hajavunja katiba ya nchi na hajavunja katiba ya chadema. So why jesca asumbuliwe?kuonekana na mumewe hotel ni jambo jema kabisa nami nasisitiza wanapokuwa wao wawili wabak kama mke na mume na wanapokuwa kwenye siasa watabak kuwa wapinzani wa kisiasa.
Kinyume na hapo tusije siku moja tukahoji inakuaje jesca amepata mimba ya david kafulila wakati kafulila ni ccm. Tutenganishe ndoa na siasa. Tutenganishe hisia na siasa.